Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Shujaa wa nyuma ya keyboard upo? Itisha maandamano ya kupinga kina Mdude kukamatwa. Ila wewe na kikundi kidogo cha Mbowe ndani ya CHADEMA huwa ni wajanja hamwendi front kizembe kama Mdude. Sasa hivi mko makwenu mnajilambia asali wakati Mdude akipigwa baridi kwenye sakafu za mahabusu.
Sisi ndio viongozi wako baada ya 2025 , uwe na adabu
 
Yaani wewe umeamua kukata kakipande haka tu ili ku justify uhaini wa Dr Slaa?

Mazungumzo yake yote kuanzia mwanzo mpaka hapo yako wapi ili tupate mantiki ya hoja yote?
Hapo hamna case.

Tusikubali kuondolewa kwenye Reli.

Mali ya ukoo haiuzwi, haikodishwi Wala kugawiwa Bure.

Kununua Mali ya urithi ni sawa na kuokota pesa za majini njiapanda!!

Epuka matapeli!!!
 
Kweli baadhi ya vipengele baina ya serikali na DP World vinachangamoto lakini ni kipi kilichowasukuma mpaka watoe kauli za namna hiyo?

Swali lisiwe kwamba je wana uwezo wa kupindua? Swali liwe Kipi kilochowasukuma wao kutoa kauli za kuchochea kufanya mapinduzi?
Cha kuwasukuma ni ishu nzima ya mkataba imekaa vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Haya yote yaliyoandikwa hapa aliyasema Slaa. Aliyasemea wapi?

Wanaopindua serikali huwa wanatangaza namna hii kuhusu mipango yao ya kupindua?

Kichwa cha madakinauliza swali juu ya walio nyuma ya mpango huo wa kupindua. Mbona ni rahisi kumuuliza huyo huyo aliyetangaza, tena hadharani bila kificho chochote juu ya mpango wao, maana wamemtuma huyo anayewasemea akatangazie dunia nzima mpango wao huo.
Wasingetaka kujulikana na kusababisha mada kama hii iwepo hapa JF, bila shaka wasingeruhusu huyo aliyekwenda hadharani na kuyatangaza mapinduzi.

Inachotafuta mada hii ni kukisia tu watu walengwa wa hisia za mleta mada hapa jukwaani.

Ingefaa zaidi aanze yeye kuwataja alionao akilinini mwake.
 
Hamna uhusiano na watu weusi hii kesi mbona mahakama imeishatoa majibu, jadili maneno ya Dr Slaa, usiwasingizie watu weusi, juzi Marekani kuna mtu kakamatwa katishia kumpindua Rais.
Sasa unakuwa mwongo waziwazi.
Nani kakamatwa akitamka kumpindua Biden?

Inaonekana upo kwenye kampeni maalum hapa kwa kuzua mambo yasiyokuwepo, au ya kutengenezwa ili kukidhi matakwa.
Itakuwa kazi kubwa sana kwenu kulifanikisha hili.
 
Mwakubusi ameyatimba, kafutwa uwakili, kajieka kwenye matatizo makubwa, hivi angetulia zake maisha yaende kama na hela anayo angepungukiwa nn? 😂😂, Hivi nikifiria jinsi kuwa wakili ilivyokuwa ngumu, Yani upige vizuri advance, chuo uishone kwelikweli, school of law ule mtihani wao mgumu kumeza utoboe, bado uchaguliwe na judge mkuu, uoneshe juhudi uwe wakili, af kisa mambo ya serikali ufutwe uwakili...dooh!!
Umewaza kimaskini sana kuanzia fedha mpaka akili
 
Thanks for the advise. Manake huwa nashindwa kumuelewa huyu FaizaFoxy anaonekana kama ndio mkuu wa Kikundi hicho,na kila jinsi ninavyosoma humu inaonekana na Inawezekana huyu n Bb yangu, yani according to mengi anayoyasema yeye na wengine. Hakika wanajitoa akili na ufahamu, na ni waongo kweli.
Miaka yote wao hutazama ikulu yupo nani, kisha hata afanye kosa gani wao watamlinda kwa kila njia, hasa inapotokea wanaompinga aliyepo ikulu, ni wa dini tofauti nao, tena mbaya zaidi mfano akiwa mtu wa aina ya Dr. Slaa, aliyekwahi kuwa padri ndio watahakikisha wanajaza kila aina ya uongo kujiridhisha.
 
View attachment 2718158
Babu mtondoo ataubeba sana
Wewe hupaswi, hata kidogo, kushangilia Dr Slaa kuwekwa ndani. Kumbuka ulikotoka na Dr Slaa akakupokea chadema na kukupa ukumbi wa kijinafasi. Leo hii kushangilia kwa kuwa Dr Slaa amewekwa ndani ni kumkosea fadhiri. You need to stop this nonsense of celebrating what this guy is going through right now.
Ukiamua kuendelea kushangilia unaweza, lakini kumbuka, historia itamkumbuka Dr Slaa kama shujaa aliyeipenda nchi yake na watu wake kuliko wewe uliyewapenda mafisadi na mabeberu kuliko nchi yako.
 
Miaka yote wao hutazama ikulu yupo nani, kisha hata afanye kosa gani wao watamlinda kwa kila njia, hasa inapotokea wanaompinga aliyepo ikulu, ni wa dini tofauti nao, tena mbaya zaidi mfano akiwa mtu wa aina ya Dr. Slaa, aliyekwahi kuwa padri ndio watahakikisha wanajaza kila aina ya uongo kujiridhisha.
Upande wenu ni hayo ndiko kwenyewe,, usipakazie watu
 
Wewe hupaswi, hata kidogo, kushangilia Dr Slaa kuwekwa ndani. Kumbuka ulikotoka na Dr Slaa akakupokea chadema na kukupa ukumbi wa kijinafasi. Leo hii kushangilia kwa kuwa Dr Slaa amewekwa ndani ni kumkosea fadhiri. You need to stop this nonsense of celebrating what this guy is going through right now.
Ukiamua kuendelea kushangilia unaweza, lakini kumbuka, historia itamkumbuka Dr Slaa kama shujaa aliyeipenda nchi yake na watu wake kuliko wewe uliyewapenda mafisadi na mabeberu kuliko nchi yako.
Shujaa kadata , usiku ,mchana yuko kwenye vyombo vya habari anaongea yeye tu, Ubalozi ulikuwa mtamu , kuukosa ni hasara kubwa kwake . Njaa imemtoa akili
 
Wachukuliwe kama wanasiasa wanatema nyongo tu ,hakuna mwenye nia ya kupindua serikali akasema kwenye interview luningani.....Askari/Mahakama wasipoteze muda na resources kudeal na void cases ,kuna watu wamesingiziwa wanasota jela ni bora wajikite kuzifanyia kazi hizo cases kupunguza watu wasio na hatia
 
Wachukuliwe kama wanasiasa wanatema nyongo tu ,hakuna mwenye nia ya kupindua serikali akasema kwenye interview luningani.....Askari/Mahakama wasipoteze muda na resources kudeal na void cases ,kuna watu wamesingiziwa wanasota jela ni bora wajikite kuzifanyia kazi hizo cases kupunguza watu wasio na hatia gerezani.
Pamoja na maoni yako kuna haja ya kuwadhibiti wanasiasa wa hovyo ambao ukiwaachia huru sana wanaweza kufanya kweli wewe ukidhani wenzio wanatema nyongo. Nia yao ni ovu lazima idhibitiwe. Serikali lazima iheshimiwe. Hawana uwezo huo kama unavosema lakini wana nia hiyo.
 
Back
Top Bottom