zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kasema the extreme.... Kwamba wananchi kupindua serikali ndio hatua ya mwisho kabisa baada ya options zote kushindikana ila hakusema ndio option ya kwanza. Wao wapo clear kuwa wanaenda kata rufaa hayo ya kupindua serikali imekuzwa bila sababu.View attachment 2718158
Babu mtondoo ataubeba sana
Dr Slaa kasema wapi hayo maneno? Mbona propaganda zinazidi humu JamiiForums. Sijui jamii check ilishakufa!Hamna uhusiano na watu weusi hii kesi mbona mahakama imeishatoa majibu, jadili maneno ya Dr Slaa, usiwasingizie watu weusi, juzi Marekani kuna mtu kakamatwa katishia kumpindua Rais.
Kaulizwa wananchi wanaweza kufanya Nini? Kasema zipo options na kufanya mapinduzi ni EXTREME options. Sasa extreme si Ina maana ni hatua ya mwisho iliyovuka mstari? Sasa wapi hapo kasema atafanya mapinduzi au tufanye mapinduzi? Stating options doesn't mean ndio ume opt for the said option.
Achana nao hao, wametunga maneno hakuna popote Dr Slaa ameongea hayo maneno.Duh 🙄 mimi naona kwanza angepelekwa Hospitali akapimwe inawezekana something wrong upstairs ! Hayo maneno sio ya kutamkwa na mtu kama Dr Slaa !
Exactly [emoji817]Fools have a fixed mindset
They always bring up stupid logic to support their theory
Despite what you mention or say, they will always try to bring you down to their playing field
They believe their ways to be correct, and they are the only ways that will work for anyone
They are never open to new ideas
They will go to any level to prove their point.
Good day nicompoop
Hii kwenye video haipo, mmeitoa wapina tutafanya hivyo
Viongozi wa kwaya.Sisi ndio viongozi wako baada ya 2025 , uwe na adabu
Hizi ni mbinu tu za kuzima ukosoajiWachukuliwe kama wanasiasa wanatema nyongo tu ,hakuna mwenye nia ya kupindua serikali akasema kwenye interview luningani.....Askari/Mahakama wasipoteze muda na resources kudeal na void cases ,kuna watu wamesingiziwa wanasota jela ni bora wajikite kuzifanyia kazi hizo cases kupunguza watu wasio na hatia gerezani.
Na hapo kasema watakaofanya mapinduzi ni wananchi na siyo yeyeKaulizwa wananchi wanaweza kufanya Nini? Kasema zipo options na kufanya mapinduzi ni EXTREME options. Sasa extreme si Ina maana ni hatua ya mwisho iliyovuka mstari? Sasa wapi hapo kasema atafanya mapinduzi au tufanye mapinduzi? Stating options doesn't mean ndio ume opt for the said option.
Acheni upotoshaji
Mbona maneno yake nimeandika hapo juu au uvivu wa kusoma?Kwa maana hiyo hizo sekunde 9 ndizo alizoongea pekee au ndio kama kawaida yenu ya kukatakata vipande na kusikiliza kinachowafurahisha na mnachotaka kukisikia ili iwe kheir kwenu?
Ndugu, Mwabukusi anaipinga Dpw nzima nzima au vipengele vya kidhalimu vilivyomo kwenye mkataba?Halafu huu ujinga wa kusema eti "Mwabukusi alisimama kwa ajili ya watanzania" uishe mara moja, watanzania wengi tumefanya utafiti na tumejiridhisha kuwa DP World imewekeza nchi 40 duniani kote na tumeridhia iwekeze na kwetu Tanzania. Huyo alisimama kwa ajili ya Watanzania wepi?
Dp world. za kuambiwa changanya na zakoWANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi
"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"
"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"
"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Nilikuwep temeke hamna uchochezi wowote siku ileWale wote waliokuwa kwenye mkutano wa chadema Temeke ni wahusika. No doubt.
-Kuhusu kunyonga, anayesaini hati za watu kunyongwa ni Rais, i.e maana yake ni mpaka Rais asaini ndio mtu anyongweHii nchi ilishawahi kunyonga wangapi kwanza tuanzie hapo, au ndio waanze na akina mdude?
- umeelewa vizuri? Nianze na kukuuliza maswali?Mpaka na viambatisho vyake
Kwa mujibu wa Mahkama Mkataba ule ni Halali kabisaMsitutoe kwenye HOJA ya Bandari!!!!
Mkataba Ule ni BATILI na FAKE uondolewe mara moja.
Na hakuna mtu atahukumiwa Kwa case za kubumba.
Fools have a fixed mindset
They always bring up stupid logic to support their theory
Despite what you mention or say, they will always try to bring you down to their playing field
They believe their ways to be correct, and they are the only ways that will work for anyone
They are never open to new ideas
They will go to any level to prove their point.
Good day nicompoop
Kumbe unajua tofauti ya jela na mahabusu.
Sasa ulikuwa unabisha kwa faida gani.
Acheni kupoteza muda humu vijana.
Kuna mambo muhimu ya kufanya .