Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Naona majizi ya sisiemu mnajipongeza

Pumbafu zenu

Suala kama hili sensitive mnaanza kuhubiri amani? Amani wakati watu wana njaa?

Amani haita kuwepo wakati watu wana njaa.

Ondoweni njaa kwa mnaowaongoza ili amani iwepo.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Naona majizi ya sisiemu mnajipongeza

Pumbafu zenu

Suala kama hili sensitive mnaanza kuhubiri amani? Amani wakati watu wana njaa?

Amani haita kuwepo wakati watu wana njaa.

Ondoweni njaa kwa mnaowaongoza ili amani iwepo.
Njaa Tz ipo tkea Nyerere akamate uraisi , la muhimu watu wasianze kuuwana kama yaliyofanywa na Nyerere Huku Zanzibar na hawa wa baadaye. Tumechoka kumwaga damu
 
Kutoipenda serekali iliyoko madarakani na wapambe wake sio kosa , , kuipindua serekali pia kama haiwajibiki kikamilifu sio kosa.
We ukipatikana lzm uwe mfano.
Watu km nyie kubaka pia sio kosa. Bangi mbaya sana hasa ukivuta wakati huna hela.
 
We ukipatilana lzm uwe mfano.
Watu km nyie kubaka pia sio kosa. Bangi mbaya sana hasa ukivuta wakati huna hela.
Mama ana upiga mwingi hilo liko wazi kwa kila Mtanzania ,so anuwajibikia umma wa Watanzania.
 
Aisee mm am not into Politics ila

AI, Artificial Intelligence ni kitu hatari sanaa.
 
Yaani unaangaika kuwatetea wahuni wa kisiasa kama hakina Dr. Slaa..
 
Ataandamana na mkewe
 
Yaani na wewe unaingizwa king na AIGIPI Wambura? Unajua kumpindua Rais ilivyo? Hivi kwa akili yako Mdude, Mwabukusi na Slaa wanaweza kupanga kumpindua Rais hata akiwa nyuma ya huyo Mtu?
Je kama Wana watu nyuma yao? Msituingize Kwenye machafuko, mabadiliko ya kisiasa yafanyike Kwenye kura
 
Sasa kama hamjui wako nyuma ya nani kwanini mmewakamata kinyume na sheria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…