Dkt. Stephano Reuben Moshi: Askofu Mkuu wa Kwanza KKKT Tanzania

Dkt. Stephano Reuben Moshi: Askofu Mkuu wa Kwanza KKKT Tanzania

luambo makiadi

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2017
Posts
10,602
Reaction score
8,798
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mada isemavyo,baba Askofu Dr Moshi ni Mkuu wa Kwanza wa KKKT Tanzania ambapo aliongoza taasisi hiyo ya pili kwa ukubwa(ya Kwanza ni Roman Catholic) kati ya mwaka 1963-1976

Askofu Dr Moshi alifanya Mambo mengi na makubwa kiroho na kijamii ambapo aliheshimika ndani na nje ya nchi

Askofu Dr Stephano Moshi ndiye muanzilishi/muasisi wa hospital ya Kanda ya rufaa ya Kanda ya kaskazini ya KCMC, pia chuo kikuu Cha kumbukumbu ya Stephano Moshi (STEMUCO) Cha mjini Moshi kilipewa jina lake ili kumuenzi

Askofu Dr Moshi alizaliwa mnamo mwaka 1906 katika Kijiji Cha Mamba Kotela kata ya Marangu magharibi na kufariki mwaka 1976.

Nawasilisha.

FB_IMG_16367836592289043.jpg
FB_IMG_16367831022774463.jpg
FB_IMG_16367818331313004.jpg
 
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.......
Kama mada isemavyo,baba Askofu Dr Moshi ni Mkuu wa Kwanza wa KKKT Tanzania ambapo aliongoza taasisi hiyo ya pili kwa ukubwa(ya Kwanza ni Roman Catholic) kati ya mwaka 1963-1976
Askofu Dr Moshi alifanya Mambo mengi na makubwa kiroho na kijamii ambapo aliheshimika ndani na nje ya nchi
Askofu Dr Stephano Moshi ndiye muanzilishi/muasisi wa hospital ya Kanda ya rufaa ya Kanda ya kaskazini ya Kcmc,pia chuo kikuu Cha kumbukumbu ya Stephano Moshi (STEMUCO) Cha mjini Moshi kilipewa jina lake ili kumuenzi
Askofu Dr Moshi alizaliwa mnamo mwaka 1906 katika Kijiji Cha Mamba kotela kata ya Marangu magharibi na kufariki mwaka 1976.
Nawasilisha.View attachment 2009077View attachment 2009078View attachment 2009079
Kumbe ndo huyu Dr!!!??!!!!! Nafurahi kumjua
 
Back
Top Bottom