luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kama mada isemavyo,baba Askofu Dr Moshi ni Mkuu wa Kwanza wa KKKT Tanzania ambapo aliongoza taasisi hiyo ya pili kwa ukubwa(ya Kwanza ni Roman Catholic) kati ya mwaka 1963-1976
Askofu Dr Moshi alifanya Mambo mengi na makubwa kiroho na kijamii ambapo aliheshimika ndani na nje ya nchi
Askofu Dr Stephano Moshi ndiye muanzilishi/muasisi wa hospital ya Kanda ya rufaa ya Kanda ya kaskazini ya KCMC, pia chuo kikuu Cha kumbukumbu ya Stephano Moshi (STEMUCO) Cha mjini Moshi kilipewa jina lake ili kumuenzi
Askofu Dr Moshi alizaliwa mnamo mwaka 1906 katika Kijiji Cha Mamba Kotela kata ya Marangu magharibi na kufariki mwaka 1976.
Nawasilisha.
Kama mada isemavyo,baba Askofu Dr Moshi ni Mkuu wa Kwanza wa KKKT Tanzania ambapo aliongoza taasisi hiyo ya pili kwa ukubwa(ya Kwanza ni Roman Catholic) kati ya mwaka 1963-1976
Askofu Dr Moshi alifanya Mambo mengi na makubwa kiroho na kijamii ambapo aliheshimika ndani na nje ya nchi
Askofu Dr Stephano Moshi ndiye muanzilishi/muasisi wa hospital ya Kanda ya rufaa ya Kanda ya kaskazini ya KCMC, pia chuo kikuu Cha kumbukumbu ya Stephano Moshi (STEMUCO) Cha mjini Moshi kilipewa jina lake ili kumuenzi
Askofu Dr Moshi alizaliwa mnamo mwaka 1906 katika Kijiji Cha Mamba Kotela kata ya Marangu magharibi na kufariki mwaka 1976.
Nawasilisha.