Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

Soso

Sisi tunawaacha na Majini yenu naona mnayatetea sana na nadhani mnanufaika nayo kwa mambo mbali mbali.
Kati ya mambo ambayo Wakristo wana iona hiyo dini kama ni kitu kisichofaa ni namna mnanyo wakumbatia Majini.
Na tunaamini Dr. Sure yuko sahihi kabisa.

Ume draw conclusion kabla ya kujibu swali langu nililoku quote rejea post #192 kipengele cha kwanza kabisa.

KINGINE
1. Ukristo sio rule of thumb ya kuupimia uislamu, hivyo haijalishi mkristo ataongea au kuandika nini kuhusu uislamu reality itabaki pale pale , alichokiongea Allah(subhana huwataala) kitabaki kuwa ukweli mpaka mwisho wa dunia.

2. umeongelea kuwakumbatia majini sijajua unamaanisha nini unaposema "kuwakumbatia" labda unge clarify kidogo ukiweka na rejea kutoka kwenye quran na sunna ili tupate kuelewana.

3. Mnaamini doctor sule yuko sahihi, doctor sule ni muumin kama waumini wengine hana authority ya kupinga kauli ya Allah(subhanna huwataala) hukmu tayari ipo kwamba tumtegemee Allah(subhanna huwataala) pekee dalili zipo kwenye quran nzima ila nyepesi zaidi ni surat fatiha aya ya 5 , na si alivyoviumba KINYUME NA HAPO UNATOKA NJE YA MISINGI YA UISLAMU NA UNAKUWA KAFIR.

yote ya yote Allah(subhanna huwataala) awaongoze wasiokuwa waislamu wauone mwanga na wapate ukweli maana yeye ndiye mwenye kuongoa .
 
wewe ungetuambia, manake tujuavyo mashehk ndio wanaongoza kuuza madawa ya kisuna, na wanafanana fanana na mganga wa kienyeji marehemu shehk Yahya wa pale Magomeni mikumi. au naye hakuwa muislam?

ungejibu maswali yangu ingependeza zaidi , kisha hayo yako nitayajibu baada.
 
Ume draw conclusion kabla ya kujibu swali langu nililoku quote rejea post #192 kipengele cha kwanza kabisa.

KINGINE
1. Ukristo sio rule of thumb ya kuupimia uislamu, hivyo haijalishi mkristo ataongea au kuandika nini kuhusu uislamu reality itabaki pale pale , alichokiongea Allah(subhana huwataala) kitabaki kuwa ukweli mpaka mwisho wa dunia.

2. umeongelea kuwakumbatia majini sijajua unamaanisha nini unaposema "kuwakumbatia" labda unge clarify kidogo ukiweka na rejea kutoka kwenye quran na sunna ili tupate kuelewana.

3. Mnaamini doctor sule yuko sahihi, doctor sule ni muumin kama waumini wengine hana authority ya kupinga kauli ya Allah(subhanna huwataala) hukmu tayari ipo kwamba tumtegemee Allah(subhanna huwataala) pekee dalili zipo kwenye quran nzima ila nyepesi zaidi ni surat fatiha aya ya 5 , na si alivyoviumba KINYUME NA HAPO UNATOKA NJE YA MISINGI YA UISLAMU NA UNAKUWA KAFIR.

yote ya yote Allah(subhanna huwataala) awaongoze wasiokuwa waislamu wauone mwanga na wapate ukweli maana yeye ndiye mwenye kuongoa .
Ukristo hatuna undugu kabisa na Majini.
Kama yaliumbwa ili kumwabudu Mungu Alah, ni kwanini hayana mtume wao wa Kijini ?
Leo Majini yanasema yanamtume wao mmoja tu Binadamu Muhammadi.
Na sijayasikia yakisema yana Mtume Musa, au Ibrahimu, au Daudi au Adam, au Yesu Kristo.
Yanamkimbilia Muhammadi tu.
Hujaona hapo pana mushkeri ?
Kwanini Majini yamg'ang'anie Muhamadi tu ?
Ambaye ni Binadamu?
Hebu soma tena.
Mtume wa Kijini wa Majini ni nani?
Na ni kwanini Qurani haisemi hii habari ?
Kama haisemi inamaana meshehe wa kibinadamu ndio mashehe wa Majini.
Maimamu wa Kibinadamu ndio Maimamu wa Majini.
Misikiti ya Kibinadamu ndio Misikiti ya Majini.
Ni kuwa Majini mpo nao katika dini yenu.
Yaani Jini Popobawa anakuja kutubu Msikitini.
Au Majini Mabaya hayatubu?
Jini Lewiethani au Jini Legion wanaingia Msikitini
Kumsujudia Allah, unajua kweli madhala yake ?
Huyo Jini Popobawa hafui dafu kwa hao Wakulungwa.
Hatukebehi ila tunawaambia ukweli.
Hiyo dini ni Kilinge cha Uchawi.
Uchawi wa Ibirisi Haluta na Maluta.
Walio jitambulisha kwenu kama Malaika.
Ni Malaika gani anakuja duniani kufundiisha Uchawi?
Ndio maana hadi hii leo maimamu wenu wanabishana.
Wanaoijua dini wanajua wana ushirika na Majini,
Nyie maamuma mnabaki kudanganywa kuwa kuna Majini mema.
Shehe Yahaya Msomi nguli wa Dini ya Kiislamu ndiye aliye kuwa Mchawi Mzito sana Afrika Mashariki na Kati.
Au bado hamjui hilo ?
Alikuwa ana agua, anatabiri nyota, na Kuroga
Au bado hamjui hilo?
Dr. Sule yuko sahihi sana.
Na ndio Uislamu unavyosema.
Nyie ni ndugu wa damu moja na Majini.
 
ungejibu maswali yangu ingependeza zaidi , kisha hayo yako nitayajibu baada.
Dini ya Uislamu ni ya Watu na Majini.
Hivyo anaye ongoza uislamu lazima ajue, nafasi ya watu katika uislamu, na nafasi ya Majini
Katika Uislamu.
Watu wanaishia wapi na Majini wanaishia wapi katika ibada za Kiislamu.
Hivyo kama imamu wa dini ya Kiislamu unaye swalisha Swala tano.
Nilazima uisomee alimu ya.

"Mahusiano ya Binadamu Watu na Viumbe Majini katika ibada za Dini ya Kiislamu"

Maana wote ni Waislamu, na inabidi ujue katika ibada yangu, je nina waumini Binadamu au Majini, au wote wapo?
Ukijua hivyo utaweza kuimudu ibada vizuri tu.
Kwani utawatengenezea wote mazingira yao ya Kuswali.
Mfano. Majini kutokana na Hadithi za Mtume Muhamadi (piece be upon him) Chakula chao ni mifupa na damu.
Ndio maana Mwislamu mwanamke akiwa kwenye hedhi yake haruhusiwi kuingia kuswali Msikitini kwakua Majini yata ila hiyo damu yake na kusababisha mwanamke huyo kufariki dunia.
Katika mantiki ya wazi kabisa, ni kwanini mwanamke mwenye siku zake haruhusiwi kutubu dhambi zake msikitini?
Ndio maana kiongozi yeyote aliye mkubwa wa Kiislamu ni lazima asome alimu ya Majini ili aweze kuyadhibiti.
Yakiamua kuleta fujo.
Ila nyie Waislamu wadogo.
Ni kwamba mko hewani tu.
Imamu yule wenu. anasema Kutumia Majini ni ruksa
Shehe yule anasema ni haram kuyatumia Mijini.
Yaani maimamu wenu kila siku ni kuyazungumzia majini majini majini.
Na ndio dini ya kwanza toka dunia iumbwe inayo yatetea majini kwa nguvu zote.
Hadi viongozi wa dini wanajiita Shehe Sharifu Majini.
Dr. Sule na viongozi wenzake wengi tu kwenye Social media ni habari ya kuyazungumzia majini tu.
Juzi Dr. Sule anasema eti kila binadamu ana majini matano yanayo mlinda.
(Ashindwe katika Jina la Yesu Kristo aliye hai)
Wakristo tunalindwa na Malaika kwa maelekezo ya Roho Mtakatifu.
Nyie bakieni na Majini yenu.
Mshindwe na mlegee, sisi Wakristo Majini ni Pepo wachafu na hatuna ushirika nayo kabisa.

Waefeso 6:12
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
(Majini ni maadui zetu wa kiroho na hatuna ushirika nayo)
Toka enzi na enzi

Mambo ya Walawi 17:7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale Majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.

{Mlio timamu pateni muda muitafakari hiyo dini, viongozi wenu bado kusema na watasema tu, kila kitu kitawekwa wazi, Dr. Sule kaanza kusema ukweli}
 
Sule ni mwanazuoni mkubwa kwaiyo anajua dini hiyo kuliko wewe
Huo u dr ni ule wa mitishamba au upi huo, tuanzie hapo kwanza tusije tukawa tunatumia nguvu kubwa kupambana na mtu mjinga na sie tuonekane wajinga zaidi!.
 
Dini ya Uislamu ni ya Watu na Majini.
Hivyo anaye ongoza uislamu lazima ajue, nafasi ya watu katika uislamu, na nafasi ya Majini
Katika Uislamu.
Watu wanaishia wapi na Majini wanaishia wapi katika ibada za Kiislamu.
Hivyo kama imamu wa dini ya Kiislamu unaye swalisha Swala tano.
Nilazima uisomee alimu ya.

"Mahusiano ya Binadamu Watu na Viumbe Majini katika ibada za Dini ya Kiislamu"

Maana wote ni Waislamu, na inabidi ujue katika ibada yangu, je nina waumini Binadamu au Majini, au wote wapo?
Ukijua hivyo utaweza kuimudu ibada vizuri tu.
Kwani utawatengenezea wote mazingira yao ya Kuswali.
Mfano. Majini kutokana na Hadithi za Mtume Muhamadi (piece be upon him) Chakula chao ni mifupa na damu.
Ndio maana Mwislamu mwanamke akiwa kwenye hedhi yake haruhusiwi kuingia kuswali Msikitini kwakua Majini yata ila hiyo damu yake na kusababisha mwanamke huyo kufariki dunia.
Katika mantiki ya wazi kabisa, ni kwanini mwanamke mwenye siku zake haruhusiwi kutubu dhambi zake msikitini?
Ndio maana kiongozi yeyote aliye mkubwa wa Kiislamu ni lazima asome alimu ya Majini ili aweze kuyadhibiti.
Yakiamua kuleta fujo.
Ila nyie Waislamu wadogo.
Ni kwamba mko hewani tu.
Imamu yule wenu. anasema Kutumia Majini ni ruksa
Shehe yule anasema ni haram kuyatumia Mijini.
Yaani maimamu wenu kila siku ni kuyazungumzia majini majini majini.
Na ndio dini ya kwanza toka dunia iumbwe inayo yatetea majini kwa nguvu zote.
Hadi viongozi wa dini wanajiita Shehe Sharifu Majini.
Dr. Sule na viongozi wenzake wengi tu kwenye Social media ni habari ya kuyazungumzia majini tu.
Juzi Dr. Sule anasema eti kila binadamu ana majini matano yanayo mlinda.
(Ashindwe katika Jina la Yesu Kristo aliye hai)
Wakristo tunalindwa na Malaika kwa maelekezo ya Roho Mtakatifu.
Nyie bakieni na Majini yenu.
Mshindwe na mlegee, sisi Wakristo Majini ni Pepo wachafu na hatuna ushirika nayo kabisa.

Waefeso 6:12
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
(Majini ni maadui zetu wa kiroho na hatuna ushirika nayo)
Toka enzi na enzi

Mambo ya Walawi 17:7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale Majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.

{Mlio timamu pateni muda muitafakari hiyo dini, viongozi wenu bado kusema na watasema tu, kila kitu kitawekwa wazi, Dr. Sule kaanza kusema ukweli}

Jitahidi kwa kila claim unayoitoa uweke na backuo evidence bila ya hivyo hakuna ambaye atachukulia maanani kile unachokiandika kwa asilimia kubwa sana umeandika mambo ambayo hayaeleki na hayapo kwenye uislamu.

Hebu kwa kila ulichoandika weka na evidence mkuu ili watu wajifunze kupitia wewe .
 
maswali yangu haujajibu nitayarudia hapa chini
Majibu

Wakristo wanalindwa na Malaika
Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.

Waislamu wanalindwa na mapepo
Allah anasema
, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
 
Majibu

Wakristo wanalindwa na Malaika
Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.

Waislamu wanalindwa na mapepo
Allah anasema
, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
Anyway kwa mara ya tatu nitarudia maswali yangu tena .

maswali yangu haujajibu nitayarudia hapa chini

1. Unaposema ndugu zangu mapepo sijui unaweza kuthibitisha hili?

2. Unaelewa nini kuhusu neno jinn?

3. Labda nikuulize kuna tofauti gani kati ya pepo, shaitani, jinn , iblis ??
 
Anyway kwa mara ya tatu nitarudia maswali yangu tena .

maswali yangu haujajibu nitayarudia hapa chini

1. Unaposema ndugu zangu mapepo sijui unaweza kuthibitisha hili?

2. Unaelewa nini kuhusu neno jinn?

3. Labda nikuulize kuna tofauti gani kati ya pepo, shaitani, jinn , iblis ??
Hakuna tofauti ,

Jibu ni hili

Wakristo wanalindwa na Malaika
Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.

Waislamu wanalindwa na mapepo
Allah anasema
, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
 
Jitahidi kwa kila claim unayoitoa uweke na backuo evidence bila ya hivyo hakuna ambaye atachukulia maanani kile unachokiandika kwa asilimia kubwa sana umeandika mambo ambayo hayaeleki na hayapo kwenye uislamu.

Hebu kwa kila ulichoandika weka na evidence mkuu ili watu wajifunze kupitia wewe .
Watu gani wajifunze kupitia mimi?
Ukristo hauna undugu wala ushirika na Majini. Aya zipo za kumwaga, sio za mimi
Waislamu ndugu zao ni Majini Aya zipo za kumwaga, mimi sihusiki
Leo Wachungaji, Maaskofu na Wakristo wote wanayakekema kwa nguvu zote Majini. Tunawasikia.
Leo Mashehe, Maimamu, Masharifu na waumini kutwa kuchwa kuyashirikisha Majini kwenye dini yao. Tunawasikia kwenye vyombo vya habari.
Sisi Wakristo tumewaacha na Majini yenu.
Kinacho nishangaza ni Majini kutangaza dini yao ni Uislamu, Kitabu chao cha dini ni Qurani, mtume wao pekee ni Muhammadi.
Swali, kwanini Majini hayana Mtume wao wa Kijini ?
Majini hayo mnayosema ni Mabaya yanapo amua kutubu yanatubu katika nyumba ipi ya Ibada kama sio Misikitini ?

Sisi tumekaa kando kuwatizama hatima yenu na hao kaka zenu wa kijini.
Hatuna ushirika wowote na Majini kwa jambo lolote.
Wasalaam wabillahi wataafiq.
The End of Story.
 
Karibu Sheikh tudadafulie.
 
Akifanyiwa mahojiano na kituo cha Habari cha Global TV Dkt Sule ameeleza masuala mbalimbali yanayohusu kupata mali kwa kutumia majini. Akifafanua kwa imani yake kuwa kupata mali kwa Majini si haramu Sule anasema:

Kupata mali kwa njia ya majini ambao sio wachafu sio haramu, nitasema na nitaendelea kusemawala siogopi. Wapo Majini ambao wanamiliki mali, inategemea pia mali hizo unazitumia wapi. Ukitumia mali hizo kwa njia yaFreemason unaoza upande moja hiyo ni haramu.

Kama unatumia dua mali na riziki zinafunguka, mali inapatikana wale waliokusahau wanakukumbuka, unaletewa mipango ya biashara inakuja, unatiki moja zinakuja kumi, hizo ntafanya mpaka naondoka duniani, siachi sababu simshirikishi Mungu , mimi natafuta riziki za halali

Ingekuwa naiba ingekuwa skendo Sule mwizi lakini nafanya dua. Namfanyia dua mtu ya kwake yanafunguka ananiletea hela, napata mali hiyo kwangu sio shida.


Yupo sahihi hata mimi mtaani kwangu watu huwa hawanielewi kabisaa kuhusu majini wasafi
 
Kutokana na dini ya Kiislamu, Dr. Sule yuko sahihi kabisa.
Kama kuna Majini waislamu na wema.
Kuna shida gani kuwatumia katika kujiongezea kipato.

Mwislamu ndugu yake ni mwislamu mwenzake kuna shida gani mkisaidiana kama ndugu.

Mbona kutokana na Qurani, mwislamu Sulemani aliwatumia majini katika kazi zake.

Dr. Sule kasema kuwa kuyatumia majini mema maislamu katika shughuri za kukuingizia kipato sio dhambi wala sio haramu.

Shida iko wapi hapo ?
 
Back
Top Bottom