Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

Sure alisema kuwatumia majini wema, yaani wale waislamu kupata pesa sio dhambi.
Na alisisitiza atalisema hilo hadi mwisho wake.
Nashangaa baadhi ya waislamu wanamkanusha wakati majini hao ni ndugu zao kama dini yao inavyosema.
Kuna ubaya gani kumtumia ndugu yako kupata pesa ?
Kutokana na hiyo dini Sule yuko sahihi kabisa.
 
Sure alisema kuwatumia majini wema, yaani wale waislamu kupata pesa sio dhambi.
Na alisisitiza atalisema hilo hadi mwisho wake.
Nashangaa baadhi ya waislamu wanamkanusha wakati majini hao ni ndugu zao kama dini yao inavyosema.
Kuna ubaya gani kumtumia ndugu yako kupata pesa ?
Kutokana na hiyo dini Sule yuko sahihi kabisa.
Thibitisha kwa quran au hadith wapi umeambiwa uwatumie majini kupata utajiri kama hakuna basi ningekushauri ukae kimya mkuu kama hauna maarifa na dini.
 
Dini ya kihuni et wake 4 umalayaa tupu,afu uchawi ndo msingi wake.Mtu kua sheikh wa Kata tu lazima awe mchawi haswaa.
 
Thibitisha kwa quran au hadith wapi umeambiwa uwatumie majini kupata utajiri kama hakuna basi ningekushauri ukae kimya mkuu kama hauna maarifa na dini.

Mishkat al-Masabih 350
Ibn Mas'ud reported God’s messenger as saying, “Do not cleanse yourselves with excrement or bones, for that is the provision of your brethren among the jinn.”Tirmidhi transmitted it, as also Nasa'i, but he did not mention “the provision of your brethren among the jinn.”

وَعَنِ ابْنِ مَسْعُودٍ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: «لَا تَسْتَنْجُوا بِالرَّوْثِ وَلَا بِالْعِظَامِ فَإِنَّهَا زَادُ إِخْوَانِكُمْ مِنَ الْجِنِّ» . رَوَاهُ التِّرْمِذِيُّ وَالنَّسَائِيُّ إِلَّا أَنَّهُ لَمْ يَذْكُرْ: «إخْوَانكُمْ من الْجِنّ»

صَحِيح (الألباني)حكم :
Reference: Mishkat al-Masabih 350
In-book reference: Book 3, Hadith 62

Kuna shida gani kuwatumia kaka zenu katika kujiongezea kipato ?
Kwani msaada wa kaka umeandikwa kwenye aya ipi?
Kaka si anakusaidia tu na haihitaji andiko.
Dr. Sure yuko sahihi kabisa
 
Mishkat al-Masabih 350
Ibn Mas'ud reported God’s messenger as saying, “Do not cleanse yourselves with excrement or bones, for that is the provision of your brethren among the jinn.”Tirmidhi transmitted it, as also Nasa'i, but he did not mention “the provision of your brethren among the jinn.”

وَعَنِ ابْنِ مَسْعُودٍ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: «لَا تَسْتَنْجُوا بِالرَّوْثِ وَلَا بِالْعِظَامِ فَإِنَّهَا زَادُ إِخْوَانِكُمْ مِنَ الْجِنِّ» . رَوَاهُ التِّرْمِذِيُّ وَالنَّسَائِيُّ إِلَّا أَنَّهُ لَمْ يَذْكُرْ: «إخْوَانكُمْ من الْجِنّ»

صَحِيح (الألباني)حكم :
Reference: Mishkat al-Masabih 350
In-book reference: Book 3, Hadith 62

Kuna shida gani kuwatumia kaka zenu katika kujiongezea kipato ?
Kwani msaada wa kaka umeandikwa kwenye aya ipi?
Kaka si anakusaidia tu na haihitaji andiko.
Dr. Sure yuko sahihi kabisa
Uislamu si kama dini nyengine huwa unakwenda kwa dalili na dalili tunazipata kwenye quran na sunna period.

Kiufupi bado haujajibu swali langu, anyways nitalirudia hapa chini usome kwa umakini kisha ujibu .

swali

Thibitisha kwa quran au hadith wapi umeambiwa uwatumie majini kupata utajiri kama hakuna basi ningekushauri ukae kimya mkuu kama hauna maarifa na dini.

Kwa muda wako ukirudi ujibu hilo swali hapo juu.
 
Nchi hii ina wajinga wengi sana
Wanapenda kufatilia mambo ya kjngjng +watu wenye maneno mengi

Ova
 
Dini ya kihuni et wake 4 umalayaa tupu,afu uchawi ndo msingi wake.Mtu kua sheikh wa Kata tu lazima awe mchawi haswaa.
1. Nini maana ya umalaya?

2. Thibitisha kwa dalili kwamba kwenye uislamu uchawi ndiyo msingi wake.

3. Nini maana ya neno shaikh?

4. Thibitisha kwa dalili kwamba kuwa shaikh ni lazima uwe mchawi.

N.b
Jua kutofautisha kati ya Dini na matendo UISLAMU UMEKAMILIKA ila Waislamu hatujakamilika maana sisi ni binadamu tunakosea , tunatubia na tunajifunza.

Matendo ya mtu usijumuishe dini nzima BE MATURED.
 
Uislamu si kama dini nyengine huwa unakwenda kwa dalili na dalili tunazipata kwenye quran na sunna period.

Kiufupi bado haujajibu swali langu, anyways nitalirudia hapa chini usome kwa umakini kisha ujibu .

swali

Thibitisha kwa quran au hadith wapi umeambiwa uwatumie majini kupata utajiri kama hakuna basi ningekushauri ukae kimya mkuu kama hauna maarifa na dini.

Kwa muda wako ukirudi ujibu hilo swali hapo juu.
Nabii Sulemani wa kwenye Qurani alitumia majini kumsaidia kazi zake na ipo kwenye Qurani.
Ushahidi ndio huo ndani ya Qurani na Aya ipo.
Ushanifahamu hapo ?
Kama Mwislamu Sulemani aliyatumia basi ni ruksa kwa Mwislamu mwingine kuyatumia pia.
Au hadi nikuwekee Aya ndio uridhike ?,,🤣?
 
Nabii Sulemani wa kwenye Qurani alitumia majini kumsaidia kazi zake na ipo kwenye Qurani.
Ushahidi ndio huo ndani ya Qurani na Aya ipo.
Ushanifahamu hapo ?
Kama Mwislamu Sulemani aliyatumia basi ni ruksa kwa Mwislamu mwingine kuyatumia pia.
Au hadi nikuwekee Aya ndio uridhike ?,,🤣?
watu wasichoelewa ni kwamba, suleiman pamoja na kwamba aliwahi kuwa mtu wa Mungu, alikuja baadaye kupotoka na kuabudu miungu mingine, na ni wanawake walimpotosha. hivyo usiige kile cha mtu wa kwenye ivyo vitabu, kuna wakati waliabudu Mungu na kuna wakati walipotoka na kuabudu majini.

pili, suleiman hajawahi kuwa muislam, uislam umekuja zaidi ya miaka 3000 baada ya yeye kufa. na, hata kutajwa kwenye kuran alitajwa wakati wa kupotosha Neno la Mungu ili kipatikane kitabu cha kishetan cha kuabudu majini. uislam hata miaka 1600 haujafikisha.

1 Kings 11 New International Version (NIV)

11 King Solomon, however, loved many foreign women besides Pharaoh’s daughter—Moabites, Ammonites, Edomites, Sidonians and Hittites. 2 They were from nations about which the Lord had told the Israelites, “You must not intermarry with them, because they will surely turn your hearts after their gods.” Nevertheless, Solomon held fast to them in love. 3 He had seven hundred wives of royal birth and three hundred concubines, and his wives led him astray. 4 As Solomon grew old, his wives turned his heart after other gods, and his heart was not fully devoted to the Lord his God, as the heart of David his father had been. 5 He followed Ashtoreth the goddess of the Sidonians, and Molek the detestable god of the Ammonites. 6 So Solomon did evil in the eyes of the Lord; he did not follow the Lord completely, as David his father had done.

7 On a hill east of Jerusalem, Solomon built a high place for Chemosh the detestable god of Moab, and for Molek the detestable god of the Ammonites. 8 He did the same for all his foreign wives, who burned incense and offered sacrifices to their gods.

9 The Lord became angry with Solomon because his heart had turned away from the Lord, the God of Israel, who had appeared to him twice. 10 Although he had forbidden Solomon to follow other gods, Solomon did not keep the Lord’s command. 11 So the Lord said to Solomon, “Since this is your attitude and you have not kept my covenant and my decrees, which I commanded you, I will most certainly tear the kingdom away from you and give it to one of your subordinates. 12 Nevertheless, for the sake of David your father, I will not do it during your lifetime. I will tear it out of the hand of your son. 13 Yet I will not tear the whole kingdom from him, but will give him one tribe for the sake of David my servant and for the sake of Jerusalem, which I have chosen.”
 
Uislamu si kama dini nyengine huwa unakwenda kwa dalili na dalili tunazipata kwenye quran na sunna period.

Kiufupi bado haujajibu swali langu, anyways nitalirudia hapa chini usome kwa umakini kisha ujibu .

swali

Thibitisha kwa quran au hadith wapi umeambiwa uwatumie majini kupata utajiri kama hakuna basi ningekushauri ukae kimya mkuu kama hauna maarifa na dini.

Kwa muda wako ukirudi ujibu hilo swali hapo juu.
Nabii Sulemani wa kwenye Qurani alitumia majini kumsaidia kazi zake na ipo kwenye Qurani.
Ushahidi ndio huo ndani ya Qurani na Aya ipo.
Ushanifahamu hapo ?
Kama Mwislamu Sulemani aliyatumia basi ni kawaida kwa Mwislamuwingine kuyatumia pia.
Au hadi nikuwelee Aya ?,,🤣?
watu wasichoelewa ni kwamba, suleiman pamoja na kwamba aliwahi kuwa mtu wa Mungu, alikuja baadaye kupotoka na kuabudu miungu mingine, na ni wanawake walimpotosha. hivyo usiige kile cha mtu wa kwenye ivyo vitabu, kuna wakati waliabudu Mungu na kuna wakati walipotoka na kuabudu majini.

pili, suleiman hajawahi kuwa muislam, uislam umekuja zaidi ya miaka 3000 baada ya yeye kufa. na, hata kutajwa kwenye kuran alitajwa wakati wa kupotosha Neno la Mungu ili kipatikane kitabu cha kishetan cha kuabudu majini. uislam hata miaka 1600 haujafikisha.

1 Kings 11 New International Version (NIV)

11 King Solomon, however, loved many foreign women besides Pharaoh’s daughter—Moabites, Ammonites, Edomites, Sidonians and Hittites. 2 They were from nations about which the Lord had told the Israelites, “You must not intermarry with them, because they will surely turn your hearts after their gods.” Nevertheless, Solomon held fast to them in love. 3 He had seven hundred wives of royal birth and three hundred concubines, and his wives led him astray. 4 As Solomon grew old, his wives turned his heart after other gods, and his heart was not fully devoted to the Lord his God, as the heart of David his father had been. 5 He followed Ashtoreth the goddess of the Sidonians, and Molek the detestable god of the Ammonites. 6 So Solomon did evil in the eyes of the Lord; he did not follow the Lord completely, as David his father had done.

7 On a hill east of Jerusalem, Solomon built a high place for Chemosh the detestable god of Moab, and for Molek the detestable god of the Ammonites. 8 He did the same for all his foreign wives, who burned incense and offered sacrifices to their gods.

9 The Lord became angry with Solomon because his heart had turned away from the Lord, the God of Israel, who had appeared to him twice. 10 Although he had forbidden Solomon to follow other gods, Solomon did not keep the Lord’s command. 11 So the Lord said to Solomon, “Since this is your attitude and you have not kept my covenant and my decrees, which I commanded you, I will most certainly tear the kingdom away from you and give it to one of your subordinates. 12 Nevertheless, for the sake of David your father, I will not do it during your lifetime. I will tear it out of the hand of your son. 13 Yet I will not tear the whole kingdom from him, but will give him one tribe for the sake of David my servant and for the sake of Jerusalem, which I have chosen.”
Hiyo ni baadae sana.
Lakini alipo kuwa mwislamu kamili aliyatumia majini kumsaidia katika kazi zake. Na Mungu Allah alimruhusu.
Sasa wewe mwislamu kama Sulemani asiye potoka.
Ni kwanini usiyatumie mijini kukusaidia katika mambo yako?
Allah alimruhusu Nabii Mwislamu Suleimani.
Wewe kinakushinda nini ?
Na unaogopa nini kumtumia Mwislamu mwenzako wa Kijini ?
Na nyinyi ni ndugu kutokana mafundisho ya mtume wako ?
Namaanisha kuyatumia yale majini mema ya Kiislamu?
Jibu ubishane na Allah na Mtume wake Muhammadi. Ili tujue wewe na Muhammadi ni nani Mtume wa Allah.
Unathubutuje kuwakanusha ndugu zako wa Kijini?
Wewe ni nani kwanza. Hebu Jitambulishe kwanza.
Who are you in muslim community.
 
Swali
Hivi ni kwanini Majini yasiwe na mtume wao wa Kijini ?
Ni kwanini yamtumie mtume wa kibinadamu Muhammadi ?
Huyo Muhammadi alikuwa anakutana nayo wapi na kuyasilimisha?
Mbona nyinyi hamkutani nayo kama mtume wenu?
Niki waambia alikuwa anakutana nayo kwenye vilinge vya kichawi mnaweza kukanusha?
 
Hivi mtume wenu anawatambulisha kwa majini kuwa ni kaka zenu, hivi hamu ulizi kuwa hao kaka zetu tunaonana nao wapi.
Unamkubalije kaka usiye mwona?
Niki kuambia kuwa huyo kaka yako ni feki, unaweza kuthitishia kuwa siyo feki?
Wewe ushawahi kumwona kaka yako wa Kijini?
Na ni kwanini hamu watafuti kaka zenu wa kijini?
Ila naskia kaka zenu wa Kijini wanawatafuta sana wadogo zao waislamu watu, na nasikiaga wengi wenu hamuwapi ushirikiano.
Ni kwanini mnawafanyia hivyo kaka zenu wa kijini?
Mwisho wa siku wata washtaki kwa Allah na mtume wenu Muhammadi na mtashindwa kesi.
 
Nabii Sulemani wa kwenye Qurani alitumia majini kumsaidia kazi zake na ipo kwenye Qurani.
Ushahidi ndio huo ndani ya Qurani na Aya ipo.
Ushanifahamu hapo ?
Kama Mwislamu Sulemani aliyatumia basi ni ruksa kwa Mwislamu mwingine kuyatumia pia.
Au hadi nikuwekee Aya ndio uridhike ?,,🤣?
Mpaka umeleta point hii hapa means haujasoma post zangu za nyuma kuna mtu alitumia dalili hiyo hiyo kwamba sulaiman (alayhi salaam) aliyatumia hivyo na sisi tuyatumie 🤨 really?

Nadhani inanibidi nikuelimishe na kuelimisha wengine kadiri nitakavyojaaliwa na Allah (subhana huwataala) ok tuanzie hapa . Kwanza jua kila nabii ana umma wake na zama zake kuna vitu ambavyo umma fulani ulihalalishiwa na kisha umma nyengine ukakatazwa na anayehalalisha na kuharamisha ni Allah(subhana huwataala) pekee kukupa mfano .

Bani israil kipindi cha nabii musa (alayhi salaam) waliharamishiwa wanyama ambao kwato zao hazijapasuka , mafuta ya kondoo na ng'ombe ispokuwa ya kwenye migongo na matumbo, ndege ambao miguu yao haijapasuka mfano bata pia waliharamishiwa vyakula ambavyo mwanzo vilikuwa halali kabisa na vitamu n.k ushahidi ni aya hizi mbili hapa

Al-An'am 6:146

وَعَلَى ٱلَّذِينَ هَادُوا۟ حَرَّمْنَا كُلَّ ذِى ظُفُرٍۖ وَمِنَ ٱلْبَقَرِ وَٱلْغَنَمِ حَرَّمْنَا عَلَيْهِمْ شُحُومَهُمَآ إِلَّا مَا حَمَلَتْ ظُهُورُهُمَآ أَوِ ٱلْحَوَايَآ أَوْ مَا ٱخْتَلَطَ بِعَظْمٍۚ ذَٰلِكَ جَزَيْنَٰهُم بِبَغْيِهِمْۖ وَإِنَّا لَصَٰدِقُونَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na wale walio fuata dini ya Kiyahudi tumewaharimishia kila mwenye kucha. Na katika ng'ombe na kondoo na mbuzi tumewaharimishia shahamu yao, isipo kuwa ile iliyo beba migongo yao au matumbo yao, au iliyo gandamana na mifupa. Tuliwalipa hivyo kwa sababu ya uasi wao. Na bila ya shaka Sisi ndio wasema kweli.

Na pia waliharamishiwa baadhi ya vyakula vizuri walivyokuwa wanavipenda ushahidi ni aya hii hapa.

An-Nisa' 4:160

فَبِظُلْمٍ مِّنَ ٱلَّذِينَ هَادُوا۟ حَرَّمْنَا عَلَيْهِمْ طَيِّبَٰتٍ أُحِلَّتْ لَهُمْ وَبِصَدِّهِمْ عَن سَبِيلِ ٱللَّهِ كَثِيرًا

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Basi kwa dhulma yao Mayahudi tuliwaharimishia vitu vizuri walivyo halalishiwa. Na kwa sababu ya kuwazuilia kwao watu wengi na Njia ya Mwenyezi Mungu,

lakini kwa mtume muhammad (swalalah alayhi wasalam) Allah (
Subhana huwataala) ametuhalalishia wanyama wote ispokuwa nguruwe , nyamafu , na wanaowinda kwa meno
Na kwenye mazao na matunda hatujaharamishiwa chochote katika hayo na tunakula nyama ya kondoo na mafuta yake tunatumia na tunakula bata, na mbuni na ngamia e.t.c hii ni ne'ema kutoka kwa Allah (subhana huwataala).

Kipindi cha nabii sulayman(alayhi salaam) masanamu yaliruhusiwa kama mapambo na sulaiman(alayhi salaam ) alikuwa mtume lakini kasri lake lilipambwa na masanamu pia ushahidi ni aya hii hapa.

Saba' 34:13

يَعْمَلُونَ لَهُۥ مَا يَشَآءُ مِن مَّحَٰرِيبَ وَتَمَٰثِيلَ وَجِفَانٍ كَٱلْجَوَابِ وَقُدُورٍ رَّاسِيَٰتٍۚ ٱعْمَلُوٓا۟ ءَالَ دَاوُۥدَ شُكْرًاۚ وَقَلِيلٌ مِّنْ عِبَادِىَ ٱلشَّكُورُ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuru.

Lakini katika umati muhammad (swalalah alayhi wa salaam) masanamu ni kharamu na haifai kuyatengeneza .

Tukirudi kwenye point yako , ni kwamba waislamu huwa hatufuati mawazo yetu kwenye maswala ambayo yana hukmu tayari na kufanya hivyo kutakupelekea kwenye upotevu mfano wewe ulivyo sema hivi

"........Kama Mwislamu Sulemani aliyatumia basi ni ruksa kwa Mwislamu mwingine kuyatumia pia?......"

Hapo umetumia akili yako bila ya kufuata hukumu na inaweza kupelekea kuwapoteza wengi maana waislamu sisi tunamtegema Allah( subhana huwataala ) kwa kila jambo rejea surat fatiha aya ya tano nanukuu.

Al-Fatihah 1:5

إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.

Hiyo aya hapo juu ni dalili tosha kwamba tunatakiwa kumuomba Allah (subhanna huwataala ) pekee na si viumbe alivyoviumba .

Kingine jua kwamba sulaiman (alayhi salaam) alikuwa mtume na alimuomba Allah (subhanna huwataala) aweze kumpatia ufalme ambao hatopata kumpatia yeyote baada yake na Allah( subhanna huwataala) akamjibia dua yake kwa kumpatia ufalme wa dunia na akamfanya khalifa wa binadamu, majini na wanyama na hao wote walimtii yeye KWA RUKHSA YA ALLAH ( the almighty) ushahidi ni aya surat sad aya ya 35-37

Sad 38:35

قَالَ رَبِّ ٱغْفِرْ لِى وَهَبْ لِى مُلْكًا لَّا يَنۢبَغِى لِأَحَدٍ مِّنۢ بَعْدِىٓۖ إِنَّكَ أَنتَ ٱلْوَهَّابُ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Akasema: Mola wangu Mlezi! Nisamehe na unipe ufalme usio mwelekea yeyote baada yangu. Hakika Wewe ndiye Mpaji.

Sad 38:36

فَسَخَّرْنَا لَهُ ٱلرِّيحَ تَجْرِى بِأَمْرِهِۦ رُخَآءً حَيْثُ أَصَابَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika.

Sad 38:37

وَٱلشَّيَٰطِينَ كُلَّ بَنَّآءٍ وَغَوَّاصٍ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi.

Mwisho wa kunukuu.

Na aya ya 37 inaweka wazi kabisa kwamba yote hayo yaliwezekana kwa amri ya Allah(subhanna huwataala)
Sisi umma huu mtume wetu ni muhammad (swalalah alayi wasaalam) amepewa hukmu tofauti na nyuma zilizopita hivyo basi tunafuatata hukmu za mtume wa mwisho.

Hope nimeondoa sintofahamu na Allah(subhanna huwataaala) ni mjuzi zaidi
 
Nabii Sulemani wa kwenye Qurani alitumia majini kumsaidia kazi zake na ipo kwenye Qurani.
Ushahidi ndio huo ndani ya Qurani na Aya ipo.
Ushanifahamu hapo ?
Kama Mwislamu Sulemani aliyatumia basi ni kawaida kwa Mwislamuwingine kuyatumia pia.
Au hadi nikuwelee Aya ?,,🤣?

Hiyo ni baadae sana.
Lakini alipo kuwa mwislamu kamili aliyatumia majini kumsaidia katika kazi zake. Na Mungu Allah alimruhusu.
Sasa wewe mwislamu kama Sulemani asiye potoka.
Ni kwanini usiyatumie mijini kukusaidia katika mambo yako?
Allah alimruhusu Nabii Mwislamu Suleimani.
Wewe kinakushinda nini ?
Na unaogopa nini kumtumia Mwislamu mwenzako wa Kijini ?
Na nyinyi ni ndugu kutokana mafundisho ya mtume wako ?
Namaanisha kuyatumia yale majini mema ya Kiislamu?
Jibu ubishane na Allah na Mtume wake Muhammadi. Ili tujue wewe na Muhammadi ni nani Mtume wa Allah.
Unathubutuje kuwakanusha ndugu zako wa Kijini?
Wewe ni nani kwanza. Hebu Jitambulishe kwanza.
Who are you in muslim community.
Soma post #180 kisha tuendelee inshaallah
 
Kipi cha ajabu?
Kwa mjibu wa Quran,Majini ni mashetani yaliyoslimu na kuwa Waislamu,Q72:14
Hakuna muislam asiyekuwa na majini!
 
Mtume anarogwa na wachawi na anarogeka.
Ndio maana Rushdie alisema kuna Aya nyingi kwenye Qurani zilitamkwa na Shetani, wakati mtume akiwa katika hali ya kurogwa akifikiria ni wahayi wa Mungu wake.

Kama sura yote ya Majini, na ile Aya ya inayosema Lata,Uza na Manata,
ni watoto wa Allah ambaye hana mke na hakuwahi kuzaa.

Kwa akili zangu mimi sijawahi kuona kitu cha maana kwenye Qurani.
Ni blah blah tu.
Niliwahi kuuliza nani anaongea kwenye Surat Fatiha sijajibiwa hadi leo.
Haya mnijibu nani anaongea hapa.
إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ

(AL-FAATIH'A - 5)
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.

اهْدِنَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ

(AL-FAATIH'A - 6)
Tuongoe njia iliyo nyooka,

Hapo anaongea Muhamadi, Allah, Jibriri au hao majini wema ?
(hakuna anaye jua hadi leo hii)

Come to Jesus Christ Brothers an Sisters, the only true and holly man.

Mimi nilikuwa Mkatoriki baada ya kuisoma Biblia na kuielewa nikaenda kuongea na Katekisa wangu na alinikimbia kwa kushindwa maswali yangu.

Usiogope kumchalenge kiongozi wako wa dini au kitabu chako unacho kiamini kama hakina mantiki.
Hii ndio inaitwa "akili huru"

Ukisoma katika akili huru utajua tu kuwa Qurani imejaa hadaa nyingi sana.

Hapa tunachangia sio kwa kebehi bali kwa kuelezana ukweli. Tuitafakari tena hii dini yetu ambayo tuliletewa tu na mkoloni na sio ya asili yetu.
 
Back
Top Bottom