kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Kashafeli huyo.. mbeya ameenda kupoteza muda tuHatimaye Siku Tuliyoisubiri imewadia Mhe Mbunge Wa Mbeya 2020-2025 Na Naibu Spika Dkt Tulia Kachukua fomu ya Kugombea ubunge kilichobakia tunasubiri kuapishwa kwake mjengoni mwezi wa kumi na 11.