kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Kashafeli huyo.. mbeya ameenda kupoteza muda tuHatimaye Siku Tuliyoisubiri imewadia Mhe Mbunge Wa Mbeya 2020-2025 Na Naibu Spika Dkt Tulia Kachukua fomu ya Kugombea ubunge kilichobakia tunasubiri kuapishwa kwake mjengoni mwezi wa kumi na 11.
Sio kwa TuliaWanawake tunaweza hata tusipowezeshwa
Aliyekuwa naibu spika,au bunge hamjalivunja nyie ccm mbunda milia?Naibu Spika wa Bunge Dkt.Tulia Ackson amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Mbeya mjini kwa tiketi ya CCM. Akiwa amesindikizwa na mume wake James Andilile Mwainyekule, Dkt. Tulia amefika Ofisi za CCM Wilaya ya Mbeya leo Julai 14 2020 na kuchukua fomu hiyo.
Mbeya mjini Sugu anza kufungasha, hilo jimbo sio lako tena.
Tuma salamu kwa wajumbe watano!Usilolijua ni kama usiku wa kiza. Ungemjua huyo jamaa wala usingesema hayo maneno. Ndoa yao iko vizuri sana na wote ni vigogo katika Serikali hii tukufu na pia wote wana mpunga mrefu ni familia ambayo mume na mke wote wako vizuri kiuchumi na kimadaraka
Mkuu kumbe una utaalamu na vijitu vyenye miili isiokuwa na shukrani,na inaonyesha kana mnyanyasa sana vimbaumbau hawajawahi kuwa na utuUkiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
Kama ndo mumewe basi ni shida. Maana yupo tu kama kalazimishwa kwenda.Ukiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
Kumbe kana mme hako ka mama ,ok ila kitendo cha yeye kuwania ubunge ni hatari Sana kwa ndugai nasikia jiwe anataka kawe ka spika,sijui ndugai mzee wa bakora atakubali zengwe Kama alilopigwa mh SittaNaibu Spika wa Bunge Dkt.Tulia Ackson amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Mbeya mjini kwa tiketi ya CCM. Akiwa amesindikizwa na mume wake James Andilile Mwainyekule, Dkt. Tulia amefika Ofisi za CCM Wilaya ya Mbeya leo Julai 14 2020 na kuchukua fomu hiyo.
Mbeya mjini Sugu anza kufungasha, hilo jimbo sio lako tena.
Tatizo la kuoa wanasheria hilo..kila kitu anajua!Ukiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
H. PolepoleTuma salamu kwa wajumbe watano!
Mkuu kumbe una utaalamu na vijitu vyenye miili isiokuwa na shukrani,na inaonyesha kana mnyanyasa sana vimbaumbau hawajawahi kuwa na utu
Usilolijua ni kama usiku wa kiza. Ungemjua huyo jamaa wala usingesema hayo maneno. Ndoa yao iko vizuri sana na wote ni vigogo katika Serikali hii tukufu na pia wote wana mpunga mrefu ni familia ambayo mume na mke wote wako vizuri kiuchumi na kimadaraka
Kama ndo mumewe basi ni shida. Maana yupo tu kama kalazimishwa kwenda.
Tatizo la kuoa wanasheria hilo..kila kitu anajua!