Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
[emoji2][emoji2]Sugu inatosha sasa. Tumekupa Desderia ikusaidie utakapostaafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2]Sugu inatosha sasa. Tumekupa Desderia ikusaidie utakapostaafu.
Ndo maana yule wa kawe kaamua kuoa.Usijaribu mkuu tena waase na wale uwapendao wasithubutu kuoa hao malimbukeni!
Sugu hapiti na wala hatumtaki, tumechoka kuongozwa na watu wasio soma, kazi kupigana bungeni. Mbeya maendeleo yamesimama hakuna sababu ya siasa za wana harakati. Mbeya mkitaka maendeleo chagueni CCM, wapinzani mtabaki hivyo hivyo miaka yote miradi yote mtakua mnaisikia na kuona kwenye TV
Duuuh mume ndio anasura ya mke,halafu mke ndio anasura ya kiume[emoji16][emoji16]Hatimaye Siku Tuliyoisubiri imewadia Mhe. Mbunge Wa Mbeya 2020-2025 Na Naibu Spika Dkt Tulia kachukua fomu ya kugombea Ubunge kilichobakia tunasubiri kuapishwa kwake mjengoni mwezi wa kumi na 11.
View attachment 1506787
HATIMAYE Aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na Mbunge wa kuteuliwa,Mheshimiwa Dkt.Tulia Ackson ameonesha dhamiri yake yak taka kumn’goa Mbunge aliyemaliza muda wake wa jimbo la Mbeya Mjini,Joseph Mbilinyi alimaarufu “SUGU”.
Alikuwa ni majira ya saa 1.55 alfajiri Mheshimiwa huyo aliposhuka katika gari nambari za usajili T.675 Land Cruiser Prado Tx akiwa ameambatana na Mume wake James Mwanyekule na kuingia katika Ofisi za CCM Wilaya ya Mbeya na kupokelewa na Katibu wa Chama hicho Wilaya,Gervas Ndaki.
Saa 2.08 asubuhi leo Julai,14,2020 amekabidhiwa fomu hiyo baada ya kupata maelekezo na taratibu za chama cha Mapinduzi ambapo kwa sehemu kubwa kwa mara ya kwanza Mume wake Mheshimiwa huyo alitumia fursa hiyo kumpigia chapuo kuwa anayo maono ya Mkoa wa Mbeya na Taifa kwa ujumla hivyo wanambeya waitumie fursa hiyo ya kumtumia.
“Mimi siyo Mwanasiasa lakini siku zote za maisha yetu Mke wangu kipenzi amekuwa na ndoto na maono ya kuwatumikia wanambeya na watanzania wote kwa ujumla,name ninamuunga mkono na sote tumuunge mkono,amesema
Safari ya Tulia kuelekea kuwa Mbunge tena lakini kwa sasa kwa sura ya kupigiwa kura na wapiga kura wake imeanza leo rasmi(Julai,14,2020 majira ya saa 2.08 alfajiri)Mbeya wanahitaji Kiongozi bora na siyo bora Kiongozi.
We ndiyo unaona makubwa hayosugu awe makini sana, sifa za mpinzani wake naona zipo wazi wazi
1. Ni MWANAMKE anayejiamini
2. Ni mwanamke MSOMI WA SHERIA
3. Ana UCHUMI wake imara
4. Ni MTOAJI na MCHANGIAJI wa shughuri za maendeleo ukimuhitaji
5. Amewahi shika nafasi kubwa za juu nchini, kama vile kuwa NAIBU SPIKA wa Bunge
Sugu atambue hizi alafu atafute namna bora ya kumzidi kete mwana mama.
Mbeya mkoa wangu mm nipo mbali, yeyeto akija poa tu...nikija salimia wazazi nikute mambo safi huko. Kila laheri nawatakieni
Something is better than nothing!. Jipangeni vizuri ili kumkabili, wekeni hoja vizuri ili wananchi wawaelewe wawapeni kura otherwise ubunge hapo mjini mtausikia tu msimu huu. Usipoteze kunijibu mm mtandaoni, wapiga kura wapo huko mbeya. MM napenda kusikia mbeya inaendelea, kama tulia anapiga kazi njema kuliko aliyekuwepo basi nitawashawishi wampe kura anayewasaidia ili awasaidie zaidi kwa imani (Hakuna mwenye hati miliki na jimbo hilo)We ndiyo unaona makubwa hayo
Ova
Anaonyesha si mtu mwenye furaha na amani.Ukiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
Wewe ni house maid wao?? Maana unawajua mnoooUsilolijua ni kama usiku wa kiza. Ungemjua huyo jamaa wala usingesema hayo maneno. Ndoa yao iko vizuri sana na wote ni vigogo katika Serikali hii tukufu na pia wote wana mpunga mrefu ni familia ambayo mume na mke wote wako vizuri kiuchumi na kimadaraka
Katika ulimwengu wa kiroho dada yangu Betina anapaswa kutambua pamoja na umaarufu alionao,kitendo cha post yake hii kukosa msisimko inadhihirisha namna alivyopwaya...Ili kulinda heshima yake kitaaluma anapaswa tu kuchutama maana huo ndio uungwana kuepusha dhahama ya kuvuliwa nguohuyu Mumewe ajiandae na leso za kumfuta machozi mkewe.
Mkuu Funza, mumewe amesema yeye si mwanasiasa, kuna cheo gani kikubwa kinapatikana nje ya siasa kwa nchi hii?Usilolijua ni kama usiku wa kiza. Ungemjua huyo jamaa wala usingesema hayo maneno. Ndoa yao iko vizuri sana na wote ni vigogo katika Serikali hii tukufu na pia wote wana mpunga mrefu ni familia ambayo mume na mke wote wako vizuri kiuchumi na kimadaraka
Sawa nimetunza screenshot kwa driveHuyo amechukua tu fomu, lakini kuna mtu ameshaandaliwa anaitwa Mwakatobe, ndiye atakaye peperusha bendera ya ccm Mbeya Mjini.
Chezea Magu wee.
Shika hayo maneno yangu.
Ka kaa ki tomboyKwa jinsi mambo yake yalivyo, nilikuwa najua HANA MUME!
Bongo movie
Yaani Wanyaki wamemuona Tulia Ackson hafai kuwa Mbunge wao, wakaamua kumchangia fedha za kuchukua fomu ili akagombee Jimbo la Mbeya Mjini. Ni DHARAU ya hali ya JUU kwa WASAFWA.