Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Ackson achukua fomu ya Ubunge Mbeya Mjini kupitia CCM. Asindikizwa na mumewe

Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Ackson achukua fomu ya Ubunge Mbeya Mjini kupitia CCM. Asindikizwa na mumewe

Labda wakati mgumu kwa kupokea pongezi kutoka kwa wana mbeya baada ya kumbwaga Betina
Sugu ana wakati mgumu , huo ndio ukweli.

Lakini hata hivyo muda aliokaa Bungeni unatosha kabisa, hata akiondoka majuto yatakuwa kidogo.
Screenshot_20190924-085502.jpeg
 
Anacheka au?
Naibu Spika wa Bunge Dkt.Tulia Ackson amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Mbeya mjini kwa tiketi ya CCM. Akiwa amesindikizwa na mume wake James Andilile Mwainyekule, Dkt. Tulia amefika Ofisi za CCM Wilaya ya Mbeya leo Julai 14 2020 na kuchukua fomu hiyo.

Mbeya mjini Sugu anza kufungasha, hilo jimbo sio lako tena.
FB_IMG_1575190134993.jpeg
 
Mbeya mjini Sugu ni habari nyingine, na pia wana Mbeya wanao uwezo wa kulinda kura za yule waliyemchagua kwa gharama yoyote ile. Tulia kwa uamuzi wako huo itakupasa utulie kweli kweli. Ningalikuwa mshauri wako ningalikushauri uje kutesti zari jimbo la Kawe.
 
Sugu ana album alikuwa anaipika ina mistari imeshiba na wakati wa kuipakua umewadia anarudi tena kwenye gemu ubunge hatoupata tena mwenyewe kafika! huyu Tulia huwezi kumlinganisha na Sugu na atapata sapoti ya serikali Mbeya mpya itaonekana na kupendeza!!

Sugu ni mhuni, mvuta bangi , msela na mropokaji tu hana hadhi ya kuwa mbunge!!anafaa kuwa kiongozi wa umoja wa bodaboda, huyu goli la mkono ni halali kabisa kwake!!!

hebu msikie anavyojinasibu kuvuta bangi hapa chini!


Usiwe poyoyo,unamkashifu mwenzio kakuchukulia mke??siasa sio vita,box LA kura litaamua October.ccm.oyee
 
Nililienda mbeya mwaka janaa baada ya miaka kazaaa nikakuta mbeya ni tulia kila kona wapega debe wa kabwe wamepigwa kitengo... nikashangaa nikasema mwaka huu ccm wameamua kulichukua jimbo la mbeya.... kila kona dolaa imetembea watu wanakenua tuuu anyway nangojea matokeo ya October 2020
 
Vikwazo ni vingi sana
1. Jinsia yake sio rahisi kuchagulika huku kwetu hizo ni mila na desturi
2. CCM ipo huko kondoa lakini mpaka leo kuna watu wanakosa mpaka sabuni ya kufulia nguo
3. CCM Mbeya ilishajifia miaka mingi, mnatutukana kuwa walevi na wavuta bangi basi nyie mtachaguliwa na wasiovuta wala kulewa
4. Tumejipanga maana ukisema ataleta maendeleo hata isimani kwa lukuvi hakuna kitu
5. Mbeya sio wajinga tunajielewa sana, 2015 jiwe aliambuliwa 10% ya kura zote

Sisi hatupelekeshwi tunajielewa huyo betina aende Rungwe kwao hawezi kupata ubunge kwenye aridhi ya Wasafwa
 
Hivi nyie mnaposema mtu Ana mpunga mrefu
Ni Urefu upi?
Je ni mfanyabiashara? Ana kiwanda?

Ova
Kwa mfano mtu akiwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi X...mpunga mrefu anakua nao au hana?
 
Back
Top Bottom