Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
- Thread starter
- #81
Mkuu mafutamingi tusubiri muda uongee mimi na ww tutakuwa mashahidiHon Nkundwe, hiyo nindot ya mchana! Huyo Mama ataaibika sana na hataamini macho yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mafutamingi tusubiri muda uongee mimi na ww tutakuwa mashahidiHon Nkundwe, hiyo nindot ya mchana! Huyo Mama ataaibika sana na hataamini macho yake.
Unamjua James wewe au una comment tu?
Duh!Ukiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
Tuko pamojaHatimaye Siku Tuliyoisubiri imewadia Mhe. Mbunge Wa Mbeya 2020-2025 Na Naibu Spika Dkt Tulia kachukua fomu ya kugombea Ubunge kilichobakia tunasubiri kuapishwa kwake mjengoni mwezi wa kumi na 11.
Tulia wewe!Sugu angetafuta jimbo lingine kwa Mbeya Mjini hashindi tena
Mmeongoza nchi zaidi ya miaka 60 lakini bado kuna umasikini wa kutupwa alafu ndio unakuja kujigamba eti mbeya lazima isonge mbele.?!
😊😊😊Hauifahamu Mbeya wewe punguani wa ccm..
Unafikiri Mbeya mjini ni pakuiba-iba kura kama mnavyokwiba sehemu nyingine..
Ngoja utaona huyu BETINA atakavyogaragazwa na SUGU na hakuna hata kura moja mtakayoweza kuiba..
Chama Cha Majizi..CCM.
Mawazo yako, nyie wanaume vipepe!Ukiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
Sugu ana album alikuwa anaipika ina mistari imeshiba na wakati wa kuipakua umewadia anarudi tena kwenye gemu ubunge hatoupata tena mwenyewe kafika! huyu Tulia huwezi kumlinganisha na Sugu na atapata sapoti ya serikali Mbeya mpya itaonekana na kupendeza!!
Sugu ni mhuni, mvuta bangi , msela na mropokaji tu hana hadhi ya kuwa mbunge!!anafaa kuwa kiongozi wa umoja wa bodaboda, huyu goli la mkono ni halali kabisa kwake!!!
hebu msikie anavyojinasibu kuvuta bangi hapa chini!
Hauifahamu Mbeya wewe punguani wa ccm..
Unafikiri Mbeya mjini ni pakuiba-iba kura kama mnavyokwiba sehemu nyingine..
Ngoja utaona huyu BETINA atakavyogaragazwa na SUGU na hakuna hata kura moja mtakayoweza kuiba..
Chama Cha Majizi..CCM.
NitakukumbushaHauifahamu Mbeya wewe punguani wa ccm..
Unafikiri Mbeya mjini ni pakuiba-iba kura kama mnavyokwiba sehemu nyingine..
Ngoja utaona huyu BETINA atakavyogaragazwa na SUGU na hakuna hata kura moja mtakayoweza kuiba..
Chama Cha Majizi..CCM.
Jamaa lazima anyanyasike kwanza anaonekana hata saikolojia yake haipo vizuri kwa kubandua mifupa tuJamaa ( Mumewe ) atakuwa ananyanyasika na anapata Taabu nae sana tu. Ni Kosa kwa Mwanaume kuwe Mnyenyekevu hivyo kwa Mwanamke.
Povu kama lote. October kitaeleweka tu.Hauifahamu Mbeya wewe punguani wa ccm..
Unafikiri Mbeya mjini ni pakuiba-iba kura kama mnavyokwiba sehemu nyingine..
Ngoja utaona huyu BETINA atakavyogaragazwa na SUGU na hakuna hata kura moja mtakayoweza kuiba..
Chama Cha Majizi..CCM.