Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Ackson achukua fomu ya Ubunge Mbeya Mjini kupitia CCM. Asindikizwa na mumewe

Comment za watu wa Sugu wanahasira aisee.minaona uchaguzi huu kama ni vita huwenda ikaanzia Mbeya mjini.
Sijui hawa viumbe kama watalala sikuhiyo japo Dr.Tulia atashinda.
 
Hao waliosoma wamekusaidia nn ww zumbukuku
 
sugu awe makini sana, sifa za mpinzani wake naona zipo wazi wazi
1. Ni MWANAMKE anayejiamini
2. Ni mwanamke MSOMI WA SHERIA
3. Ana UCHUMI wake imara
4. Ni MTOAJI na MCHANGIAJI wa shughuri za maendeleo ukimuhitaji
5. Amewahi shika nafasi kubwa za juu nchini, kama vile kuwa NAIBU SPIKA wa Bunge


Sugu atambue hizi alafu atafute namna bora ya kumzidi kete mwana mama.
Mbeya mkoa wangu mm nipo mbali, yeyeto akija poa tu...nikija salimia wazazi nikute mambo safi huko. Kila laheri nawatakieni
 
Duuuh mume ndio anasura ya mke,halafu mke ndio anasura ya kiume[emoji16][emoji16]
 
We ndiyo unaona makubwa hayo

Ova
 
We ndiyo unaona makubwa hayo

Ova
Something is better than nothing!. Jipangeni vizuri ili kumkabili, wekeni hoja vizuri ili wananchi wawaelewe wawapeni kura otherwise ubunge hapo mjini mtausikia tu msimu huu. Usipoteze kunijibu mm mtandaoni, wapiga kura wapo huko mbeya. MM napenda kusikia mbeya inaendelea, kama tulia anapiga kazi njema kuliko aliyekuwepo basi nitawashawishi wampe kura anayewasaidia ili awasaidie zaidi kwa imani (Hakuna mwenye hati miliki na jimbo hilo)
 
Wewe ni house maid wao?? Maana unawajua mnooo
 
huyu Mumewe ajiandae na leso za kumfuta machozi mkewe.
Katika ulimwengu wa kiroho dada yangu Betina anapaswa kutambua pamoja na umaarufu alionao,kitendo cha post yake hii kukosa msisimko inadhihirisha namna alivyopwaya...Ili kulinda heshima yake kitaaluma anapaswa tu kuchutama maana huo ndio uungwana kuepusha dhahama ya kuvuliwa nguo
 
Mkuu Funza, mumewe amesema yeye si mwanasiasa, kuna cheo gani kikubwa kinapatikana nje ya siasa kwa nchi hii?
 
Huyo amechukua tu fomu, lakini kuna mtu ameshaandaliwa anaitwa Mwakatobe, ndiye atakaye peperusha bendera ya ccm Mbeya Mjini.
Chezea Magu wee.
Shika hayo maneno yangu.
Sawa nimetunza screenshot kwa drive
 
MBEYA TUNAJITEKENYA NA KUCHEKA WENYEWE

Tuliaminishwa Dr Tulia, anastahili kuwa muwakilishi wetu. Tukaaminishwa kuja kwake Mbeya ni matakwa ya Rais.
Kwamba anamtaka Tulia, baadaye awe SPIKA wa bunge.
Tuliaminishwa, elimu na ushawishi wake atachukua jimbo kirahisi. Lugha imegeuka, tunaaminishwa sasa hata kwa nguvu atachukua Dr Tulia.
Kwa hiyo siyo kwa elimu na mvuto wake tena, bali nguvu zetu ndo zitampa Jimbo?
Tumeamua kuwadharau wana Mbeya kiasi hicho?
Kwamba tunawaletea Mbunge wa kuwa Spika?
Kwamba Uspika wake utaleta na kufufua viwanda Mbeya?
Utaleta flyover na maji ya kutosha Mbeya?
Uspika wake utaondoa urasimu kwenye biashara za watu?
Kwamba Uspika wa Ndugai umeleta maendeleo makubwa Kongwa?
Kwamba Kongwa kuna maendeleo kuliko Mbeya?
Kwamba wana Mbeya tutapaa kimaendeleo kama Njombe Kusini ya Anne Makinda?
Tulia atatuletea maendeleo Mengi kama Urambo kwa marehemu Sitta?
Tutapaa kimaendeleo kama jimbo la Ukerewe kwa Mzee Msekwa?
Hiyo ndo njia tuliyochagua kutumia kushawishi wana Mbeya?
Tuache kujitekenya na kucheka wenyewe.
Natazama akili ya watu wachache kwenye vijiwe vya siasa.
Wanaojilisha upepo kuwa Tulia atasaidia kuchukua jimbo.
Kuamini katika Tulia, tutapigwa kipigo cha mapema sana kuliko siku zote.

Ndimi Mwana CCM.
Edwin Mwakanyamale,
Forest Mbeya.
 

Yaani Wanyaki wamemuona Tulia Ackson hafai kuwa Mbunge wao, wakaamua kumchangia fedha za kuchukua fomu ili akagombee Jimbo la Mbeya Mjini. Ni DHARAU ya hali ya JUU kwa WASAFWA.
 
Huyu Mdada alikosa washauri wakati wa maamuzi ya kugombea hasa mikakati ya kampeni hasa zile foundations zake ambazo zilikaa kitakrimatakrima. Zile takrima angezitumia jimbo la Sauli au Kule Busokelo angefukuruka kirahisi sana.

Ila kwasabb kwny siasa kuna mbinu nyingi za ushindi hasa ikitumika mbinu ya Dollar basi hii mbeleko inaweza leta ushindi!! Lakini kwnnn utumie mbeleko wakati mwana mwepesi wa Rungwe magaribi na masharki wapo???

Angefikir sana kabla ya kuamua angenyanyua mzigo mzito kw ngv kidogo sasa.Tusubiri tuone!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…