Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Ackson achukua fomu ya Ubunge Mbeya Mjini kupitia CCM. Asindikizwa na mumewe

Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Ackson achukua fomu ya Ubunge Mbeya Mjini kupitia CCM. Asindikizwa na mumewe

Mimi ni Mnyakyusa PURE. Sisi hatuko tayari kutawaliwa na mwanamke, hili liko wazi wala usitumie nguvu kunibishia.

Vile vile Mbeya kuna ukabila mkubwa kati ya Wasafwa na Wanyakyusa. Hakuna Msafwa anaweza hata kugombea udiwani wilaya ya Rungwe japo kuanzia Kiwira mpaka Kijiji cha mwisho cha mpaka wa Rungwe na Mbeya wakazi wote ni Wasafwa.

LAKINI naujua muziki wa WASAFWA, wakiamua TULIA ACKSON hapiti hata kura za maoni za ndani ya Chama cha CCM. TULIA atatulizwa tusubiri wakati mwafaka.
 
Mbona mlikuwa mnadai Tulia ni bachelor au Jamaa ni mshika mapembe?
 
Acha mada za ukabila, Mbeya ni mji wenye watu wengi wa makabila mbalimbali, hata mchaga anaweza kugombea.

Kwani akina bashite na gwajima wanavyogombea majimbo ya Dar tuseme ni dharau kwa wazaramo?
 
Tulia anapendwa kila kona MBEYA sababu ni mzawa wa Mbeya sio wa kuja kama Mkoloni Sugu aliyekuja kutawala wana mbeya

Ona hapo akichangiwa na bodaboda mbeya mjini achukue fomu ya kugombea jimbo la Mbeya mjini

 
Acha mada za ukabila, Mbeya ni mji wenye watu wengi wa makabila mbalimbali, hata mchaga anaweza kugombea.

Kwani akina bashite na gwajima wanavyogombea majimbo ya Dar tuseme ni dharau kwa wazaramo?
Wanaosema wacha ukabila ndiyo wakabila wakubwa sana. Mbeya siyo Dar ambapo kila kabila laweza kuongoza
 
Kuna mwalimu mmoja alisema thana ya women empowerment itazamwe upya maana tuna wa empower wanawake ambao tayar wapo vizuri financially, mil salary taker, lkn bado unawajazia mapesa
 

Yaani Wanyaki wamemuona Tulia Ackson hafai kuwa Mbunge wao, wakaamua kumchangia fedha za kuchukua fomu ili akagombee Jimbo la Mbeya Mjini. Ni DHARAU ya hali ya JUU kwa WASAFWA.

Ni dharau kwa wenyewe unamchangia mtu pesa ili awe kiongozi wa wenzako

Wamejionyesha walivyo punguani au wanajipendekeza.

Vipi kwao huko waliogombea au mbunge wao aliyeondoka sijui wanajisikiaje
 

Yaani Wanyaki wamemuona Tulia Ackson hafai kuwa Mbunge wao, wakaamua kumchangia fedha za kuchukua fomu ili akagombee Jimbo la Mbeya Mjini. Ni DHARAU ya hali ya JUU kwa WASAFWA.
Acha ukabila mzee. Dr. Tulia wacha tuchukue Jimbo. Wasafwa Mbeya vijijini tumewaachia
 
Yaan huyu betina hapa mjini kamwaga hela sana anazunguka na ki Costa chake kugawa reflekta kwa Bodaboda,Bajaji ndio balaa yaani hakisipo pita uchaguzi huu nadhani mwili wake utakuwa kama supergate za mo

Yanga 1 Simba 4
 
Mimi ni Mnyakyusa PURE. Sisi hatuko tayari kutawaliwa na mwanamke, hili liko wazi wala usitumie nguvu kunibishia.

Vile vile Mbeya kuna ukabila mkubwa kati ya Wasafwa na Wanyakyusa. Hakuna Msafwa anaweza hata kugombea udiwani wilaya ya Rungwe japo kuanzia Kiwira mpaka Kijiji cha mwisho cha mpaka wa Rungwe na Mbeya wakazi wote ni Wasafwa.

LAKINI naujua muziki wa WASAFWA, wakiamua TULIA ACKSON hapiti hata kura za maoni za ndani ya Chama cha CCM. TULIA atatulizwa tusubiri wakati mwafaka.
Idadi ya wasafwa wanaojitambua ni wachache sana na tena kwa mbeya mjini wanaoongoza kuvaa mi tishet ya tulia trust ndio haohao wasafwa
 
Back
Top Bottom