Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamayo si anayo mpe yeye sasaMtu hana hata matako mnapaje kuongoza bunge jamani, [emoji2300][emoji1745]
kwani kuna mbunge wa chadema bungeni???yule mmoja tu??hahaha relaxSafi sanaaaa anafaa chadema watakomaaa
Safari ndefu ya kwenda wapi, ahera? Hakuna safari ndefu duniani, sana sana miaka 100 umejitahidi kuishi!Bado Watanzania tuna safari ndefu!
mteule wa marehemu anapetaaaaaaa😛😛😛😛😛Pumbavu jinyonge!
Unajisikiaje mteule wa Magu anavyopeta
Sugu itabidi akagombee ukingani hakuna namna!Sugu sasa atafute jimbo jingine. Maana Mbeya mjini haiwezekani tena. Speaker haitatokea ashindwe uchaguzi.
chadema pelekeni jina la spika wenu akachuane na dr tuliaHapo hakuna kitu
but anazo qualifications za kuwa spika kuwa mwanamke sio hoja so tulia na sugu yupi boraNi zamu ya akina mama ngoja tuwaone.2025 sio mbali
Mama anajiandalia mazingira ya 2025 .... lazima aweke wale anaowaweza. Akina mama wataula sana awamu hii ......!!Karata zimechezwa vizuri
Nafasi ya uspika amewekwa
Mtu ambaye Mama ata mmudu
Na tulia ndo chaguo sahihi
hayo yote hayatatokea kwa sababu logic yako haina mashikobado mama anateua jaji mwanamke mbowe ajiandae hata akikata rufaa baada ya hii hukumu ya maisha jela aje adunde