Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ccm ilishakufa kimebaki kikundi fulani cha watu wanalinda maslai yao tu # tunataka katiba mpya #
 
Soon jaji mkuu atakua mwanamke...
Natoka mkoa ambao mwanaume ana mamlaka, najisikia vibaya sana...
Jpm alichemka sana kuteia hawa wanawake

Usiogope
Hakuna anayeweza chukua nafasi ya mwanaume

Kama huamini kamuulize mume wa Tulia
 
Dr. Msomi Tulia Ackson ameteuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge.

Kinachosubiriwa na kupigiwa kura tu na wabunge wa CCM.

Ukubali ama ukatae Tulia ndie spika mpya wa JMT.

Kazi Iendelee.

This country is doomed to fail.
Upuuzi
 
2001 - 2003 University of Dar es Salaam LLM
2005 - 2007 University of Cape Town Ph. D
Asante mleta mada kwa taarifa hii muhimu. Pia nauliza toka 2003 Mpaka 2005 , Mheshimiwa Dr Tulia alikuwa anajishughulisha na nini?

Na Je. Ni kweli PhD aliisoma miaka 2 ama 3 ?
 
Mkuu, huko CCM huwa mnatumia vigezo gani kumtambua kada kama “mwizi” na “fisadi” au “mtu safi”? Sijawahi kusikia maamuzi rasmi ya kumng’oa fisadi toka kwenye chama. Au ni siri za ndani?
Huwa tunamalizana nao kimya kimya kama tulivyomalizana na Lowasa chadema mkamchukua tukamalizana naye sanduku la kura na Chenge mchukueni awe mgombea wenu uraisi si anazo pesa za kuwahonga kununua chadema kama Lowasa alivyokinunua ? Mchukueni
 
Nashangaa watu wanaumia Tulia kuteuliwa. Hata angeteuliwa nani haitasiadia chochote kwa sababu wote ni CCM. CCM ni ukoo mmoja hata aje nani hakuna la maana atakalobadilisha.

Labda angekuja mtu ambae yuko nje ya mfumo, na tatizo atapenya kupitia mlango gani na wakati bungeni majority ni CCM. Lazima wapitishe mtu wao.

CCM hawana cha kupoteza zaidi ya maslahi yao. Hivyo she nani hawana shida.
 
Asante mleta mada kwa taarifa hii muhimu. Pia nauliza toka 2003 Mpaka 2005 , Mheshimiwa Dr Tulia alikuwa anajishughulisha na nini?

Na Je. Ni kweli PhD aliisoma miaka 2 ama 3 ?

Mbona imeandikwa alipomaliza 2003 alibaki chuon kama Mkufunzi(nadhan mkufunzi msaididiz)
 
Safi Sana , huwezi pitisha fisadi kama Chenge na wale wengine wasio na uzoefu.

Naibu awe Zungu au Masele
 
Ilikuwa suala la muda tu.imetuchukua muda mrefu Sana Wana Mbeya kutoa kiongozi mkuu miongoni mwa mihimili mikuu mitatu.niliongea humu kwamba ni zamu yetu Wana Mbeya
 
CCM niileile kazi inaendelea ya awamu ya 5 katika muhimili wa Bunge
 
CCM hoyeeee asante kulipiga chini fisadi na jizi Andrew Chenge
Kuna watu ni mapumbavu kweli,hivi kwa akili ya kawaida hivi unaweza kumfanya Chenge awe Spika? Ungekuwa ni utani na matusi kwa wananchi.

Mama alivyopata ngekewa ya Urais ndivyo Tulia kapata ngekewa ya USpika.

Ana uzoefu kama Naibu na Makinda alikuwa Naibu akawa Spika.
 
Ilikuwa suala la muda tu.imetuchukua muda mrefu Sana Wana Mbeya kutoa kiongozi mkuu miongoni mwa mihimili mikuu mitatu.niliongea humu kwamba ni zamu yetu Wana Mbeya
Afadhari hata maana wametutenga Sana mkuu.

Na spika lazima apite bilakupingwa kwenye Jimbo lake,Akina Sugu tutawaachia Jimbo jipya 😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…