Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

View attachment 2089469
Akiongea na wanahabari, msemaji wa chama cha mapinduzi Shaka Hamdu shaka amesema chama cha mapinduzi kimeptisha Tulia Acksoni kuwa mgombea wa kiti cha uspika wa jamhuri ya muungano wa Tanzani

Pamoja na mambo mengine pia kama kuu imempongeza Rais Samia kwa ujenzi wa vyumba vya MADARASA nchi nzima

Pia soma: Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


PERSONAL DETAILS
Surnname:
Mwansasu
Middle Name: Ackson
First Name: Tulia
Salutation: Hon. Dr
Marital Status: Married
Date of Birth: 23 Dec. 1976
Place of Birth: Tukuyu Mbeya.
Sex: F
Email: tuliaj@gmail.com
Postal Address: 35093 Dar es Salaam


EDUCATION BACKGROUND
1984 - 1990 Mabonde Primary School Primary Education
1991 - 1994 Lolera Secondary School CSE
1995 - 1997 Zanaki Secondary School ACSE
1998 - 2001 University of Dar es Salaam LLB
2001 - 2003 University of Dar es Salaam LLM
2005 - 2007 University of Cape Town Ph. D

EMPLOYMENT EXPERIENCE
2011 - 2015 University of Dar es Salaam Senior Lecturer
2009 - 2015 University of Dar es Salaam Associate Dean
2001 - 2001 Attorney General's Office Trainee

HOBBIES
Reading Books
Physical Exercises
Basi sawa.
 
Eti uzoefu.. sema mambo mengine.

Tunasubiria kusikia nini kilifanyika hadi kufikia kumpata yeye.

Sasa hebu taja kati ya wagombea waliokuwa wakitafuta nafasi, ni yupi mwenye uzoefu na uspika wa bunge la JMT?

Wakati mwingine tuwe tunaweka mahaba pembeni na tutumie simple logics namna CCM huwa wanaendesha mambo yao...
 
Karata zimechezwa vizuri
Nafasi ya uspika amewekwa
Mtu ambaye Mama ata mmudu
Na tulia ndo chaguo sahihi
 
sina hakika kama huyu ana akili huru au naye ni wa kuburuzwa kama kondoo
 
Pascal Mayalla komaaa na huyuhuyu akupigie debe kwenye teuzi zijazo. Ulimtabiria na kumpiga debe sana humu tangu zamani.

It's now or Never!
Soma tarehe ya bandiko hili!.
P
 
Sasa hebu taja kati ya wagombea waliokuwa wakitafuta nafasi, ni yupi mwenye uzoefu na uspika wa bunge la JMT?

Wakati mwingine tuwe tunaweka mahaba pembeni na tutumie simple logics namna CCM huwa wanaendesha mambo yao...
Unadanganyika na mamlaka Hakuna kitu pale kwani alikuwepo alikuwa anafanya nini.

Sent from my SM-G928I using JamiiForums mobile app
 
Hatua nane mbele tunarudi kumi nyuma kisha tunajipongeza.. Kazi sana kufikia nchi ya ahadi
chadema ndiyo wanarudi hatua kumi nyuma baada ya hatua mbii mbele ccm mbelekwambele mtaisoma namba
 

Akiongea na wanahabari, msemaji wa chama cha mapinduzi Shaka Hamdu shaka amesema chama cha mapinduzi kimeptisha Tulia Acksoni kuwa mgombea wa kiti cha uspika wa jamhuri ya muungano wa Tanzani

Pamoja na mambo mengine pia kama kuu imempongeza Rais Samia kwa ujenzi wa vyumba vya MADARASA nchi nzima

Pia soma: Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


PERSONAL DETAILS
Surnname:
Mwansasu
Middle Name: Ackson
First Name: Tulia
Salutation: Hon. Dr
Marital Status: Married
Date of Birth: 23 Dec. 1976
Place of Birth: Tukuyu Mbeya.
Sex: F
Email: tuliaj@gmail.com
Postal Address: 35093 Dar es Salaam


EDUCATION BACKGROUND
1984 - 1990 Mabonde Primary School Primary Education
1991 - 1994 Lolera Secondary School CSE
1995 - 1997 Zanaki Secondary School ACSE
1998 - 2001 University of Dar es Salaam LLB
2001 - 2003 University of Dar es Salaam LLM
2005 - 2007 University of Cape Town Ph. D

EMPLOYMENT EXPERIENCE
2011 - 2015 University of Dar es Salaam Senior Lecturer
2009 - 2015 University of Dar es Salaam Associate Dean
2001 - 2001 Attorney General's Office Trainee

HOBBIES
Reading Books
Physical Exercises


Nimependa kwamba ni rika langu lakini hapa tutegemee "shikamoo Mama" tu. Kusaidia serikali sijui
 
Back
Top Bottom