Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tanzania sasa inaenda kuongozwa na wanawake watatu. Kwenye top official.

Rais Samia Hassan Suluhu
Spika wa BUNGE: DR. TULIA
Waziri wa jenshi na Ulinzi: Tax
 
ngoja tuone,kura zitakuwaje maana hapo ameteuliwa na watu wachache,wanaume wanasemaje huko bungeni,nchi imekamatwa na wanawake rasmi!!
 
Najiuliza kama kulikuwa na sababu ya kuhamasisha watu 70 kuchukua fomu wakati ushindani wa kupata mgombea hakuna. !!
 
Hili lilitarajiwa na nimekuwa nikiandika hapa...

Mosi, hakuna aliyekuwa anamzidi Tulia kwa uzoefu...

Pili, imekuwa kama ni utaratibu wa CCM kumrithisha naibu wa Spika nafasi ya Uspika inapokuwa wazi..

Tatu, imekuwa ni nafasi pekee ya kuweza kuwa na wanamama wawili katika mihimili ya JMT
Samweli Sitta vp ??? au umemsahau
 
Huwa tunamalizana nao kimya kimya kama tulivyomalizana na Lowasa chadema mkamchukua tukamalizana naye sanduku la kura na Chenge mchukueni awe mgombea wenu uraisi si anazo pesa za kuwahonga kununua chadema kama Lowasa alivyokinunua ? Mchukueni
Kurejea CCM na kupokelewa kwa heshima na mwenyekiti wa chama ni part of the deal?

Chenge alikuwa mmoja wa wenyeviti bungeni. Ana heshima yake kubwa tu ndani ya CCM.
 
Back
Top Bottom