Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kutoka kwa mdau Twita


Hawa ndio watufundishe demokrasia?

Awamu zote majina yanapendekezwa matatu na kupelekwa kwenye kamati ya wabunge wa chama ili kupigiwa kura.
Kwa uteuzi huo huyo tayari ni Spika hata kama robo tatu ya wabunge wa CCM hawatapiga kura; na hata wakipiga hapana ni huyo huyo.
 
Hii nchi bila wenye nchi kuamua, tutaendelea kuchezewa kama midoli huku tunawaangalia tu, wanafanya ujinga makusudi kwasababu wanajua hatuna madhara kwao.
 
Dr. Msomi Tulia Ackson ameteuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge.

Kinachosubiriwa na kupigiwa kura tu na wabunge wa CCM.

Ukubali ama ukatae Tulia ndie spika mpya wa JMT.

Kazi Iendelee.

This country is doomed to fail.
Tumekwisha
 
Mpaka kuwafikia demorasia iliyopo Kenya itatuchukua miaka 100.
 
Back
Top Bottom