Jiwe si alikuwa Mungu wenuWaliokufa hawaulizwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe si alikuwa Mungu wenuWaliokufa hawaulizwi
Ni mwenzetu na Chadema. We mtukane baba yakosiwezi kuwa na baba lichadema ningelipa kesi ya uhaini lifungwe tu kuliko kuwa chadema
Safi sana, Kaziiendelee, We proud of this Man,
Wewe ndiye Nyang'au mkubwa, Mzee Nani vile? MgaChadema wamemteua Halima James Mdee kugombea uspika!
Bila kumtaja Samwel Sitta, maandishi yako hayana maanaJe hujaona maneno "imekuwa kama ni kawaida..."?
😂😂😂😂😂😂 na mda si mrefu SACP Suzan Kaganda anakuwa IGP.[emoji23][emoji23]
Ndo akili yako ilipofikia mwishoooSafi sanaaaa anafaa chadema watakomaaa
TumekwishaDr. Msomi Tulia Ackson ameteuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge.
Kinachosubiriwa na kupigiwa kura tu na wabunge wa CCM.
Ukubali ama ukatae Tulia ndie spika mpya wa JMT.
Kazi Iendelee.
This country is doomed to fail.
Kuuziwa mbuzi kwa junia.Mchezo Umekwisha!,
Jina Moja ni Dr. Tulia Akson!
Paskali.