Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatia huruma sana wala sio siri[emoji25][emoji25],pesa hana wadhifa hanaMi nikiona Askari mstaafu anaishi maisha magumu mtaani najua ni malipo ya dhuluma aliyowafanyia raia kipindi cha utumishi wake.
Mungu hana mzaha. We jione kamanda tu kwa kutumikia double standard.
Hili jina la "BETINA"[emoji27][emoji27][emoji27]Lumumba mna tabu na hamjielewi kabisaa,lissu akikusanya nyomi mnaishia kusema hao wote sio wapiga kura ila ni vijana tuu wa mtaani walokuja kumshangaa, nyomi hiyohiyo akikusanya betina mnaishia kudai chadema itafutika kwenye ramani. Hamueleweki na hamjielewi.
Dawa ni ubaya kwa ubaya hakuna kulala mpk kielewekeHii Nchi sijui double stand itaisha lini! Sugu alikamatwa na Jeshi la polisi kwa kosa la kufanya maandamano wakati wa kuchukua fomu. Kwanini Tulia hajakamatwa au yeye yuko juu ya sheria!
Delete CCM on 28th October 2020 for the safety of our Nation.
Jikite kwenye hojaIna chekesha sana. Maana tulimuona sijui ni Ocd, sijui ni Ocs povu likimtoka kwa Mbunge Sugu, hadi kumtukana kwamba hana heshima. Ati kaitisha maandamano. Mbaya zaidi hata Rpc alilitolea ufafanuzi ambao ulionekana ni kuibeba Ccm. Sasa mbona hapa kimya.. Au ni mwendelezo uleule wa aliye kuwa Rpc Arusha wa kukata mauno kwenye majukwaa ya Ccm?
Huku IGP ana hadaa watu kwamba polisi hawata kuwa na upendeleo.. Hovyooo
Ni aibu kubwa kwa mapolice...hivi ndiyo vielelezo muhimu sana namna Jeshi la police linavyotumika waziwazi kabisa.Ina chekesha sana. Maana tulimuona sijui ni Ocd, sijui ni Ocs povu likimtoka kwa Mbunge Sugu, hadi kumtukana kwamba hana heshima. Ati kaitisha maandamano...
Shida yenu ndio hiyo. Hivi mnadhani hii nchi Ccm mna mamlaka kuvunja sheria za nchi? Sheria ina kataza mgombea kutumia mali na watumishi wa serikali kwenye chaguzi.Jikite kwenye hoja
Haunizini mimi! Kangi fijhooo!Nime mind sana. Hiki chama kina nikera sana.
Ilete hiyo clip ya rpc kama unayo.Ina chekesha sana. Maana tulimuona sijui ni Ocd, sijui ni Ocs povu likimtoka kwa Mbunge Sugu, hadi kumtukana kwamba hana heshima. Ati kaitisha maandamano. Mbaya zaidi hata Rpc alilitolea ufafanuzi ambao ulionekana ni kuibeba Ccm. Sasa mbona hapa kimya.. Au ni mwendelezo uleule wa aliye kuwa Rpc Arusha wa kukata mauno kwenye majukwaa ya Ccm?
Huku IGP ana hadaa watu kwamba polisi hawata kuwa na upendeleo.. Hovyooo
Tumeshitakiwa MIGAShida yenu ndio hiyo. Hivi mnadhani hii nchi Ccm mna mamlaka kuvunja sheria za nchi? Sheria ina kataza mgombea kutumia mali na watumishi wa serikali kwenye chaguzi. Rpc katoa magari mawili ya polisi kumsindikiza dada yenu kuchukua fomu. Hivi mkiwekewa pingamizi hao polisi wata wasaidia nini?
Ati Tulia ni mwana sheria.. Hata hili dogo hakuliona ni kosa?
Vichwa puff puff
Hata huyo Magufuli na urais wake wote, msafara wake hauku ongozwa na gari za serikali. Tulia yeye ni nani hapa Mbeya?
Wa kuletwa baada kushonewa uniform asubuhi hiyo.Alafu mbona watu wote wamevaa mashatu, Dela na Tsheti Mpya.
Moja ya kumi ukilinganisha na wa Tundu lissu. Apewe hongera kwa kupata angalau moja ya kumi.Mgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais kupitia Chadema Tundu Lissu!
Hiki kishindo cha uchukuaji fomu ni salamu tosha kwa Sugu na CHADEMA kwa ujumla kwamba wajiandae kustaafu na kwenda kufagia kwenye hotel yao ya Desideria.
Mgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais kupitia Chadema Tundu Lissu!
Hiki kishindo cha uchukuaji fomu ni salamu tosha kwa Sugu na CHADEMA kwa ujumla kwamba wajiandae kustaafu na kwenda kufagia kwenye hotel yao ya Desideria.