Dkt.Tulia, Dkt. Mwigulu, Dkt. Nchimbi, Paul Makonda na January Makamba ni hazina kwa Tanzania ijayo

kuna mgunduzi huko urusi kagundua makalio yana uwezekano wa kubeba akili na inakadiliwa wengi wapo tanzania kama mfano wako
 
sasa orodha Haina Kafulila ni gani?
 
Juhudi za kumpigia kampeni 'Chura Kiziwi' kwa kurembaremba pembeni unadhani watu hawatajuwa lengo linalokusudiwa na vimada vya kipuuzi puuzi humu JF?

Hopeless Kabisa.
 
MBOJI,MBOJI, MBOJI,MBOJI ......πŸ€”πŸ€”
 
Kwa nini hujifunzi kuandika kwa kanuni zake?JF ni jukwaa kuuubwaaa juu ya jukwaa.Unataka utafsirikaje?Usiandike tu kama upo chumbani "unachana" nywele.Badilika.Siyo ombi.
sasa ticha,
malimbikizo ya madai yenu si yanashughulikiwa na serilikali na madaraja mnapanda ...

hii ya kufundisha fasihi andishi au simulizi, fanyeni kule darasani kwa wanetu,

dosari na kasoro za silabi, herufi, sentensi, lahaja na mengine kuhusu humu jukwaani sio issue, bali uelewa na ufahamu juu ya mambo ya kisiasa kijamii na kiuchumi ndio muhimu zaidi....

sawa mwalimu?
usilete tena kimbelembele cha darasani humu jukwaani,

umeelewa mwalimu?πŸ’
 
Nyie ndio mna sababisha jf kuonekana sio kwa sasa
ni kweli mihemko, ghadhab, hasira na kuporomosha mitusi kumeharibu mijadala mingi muhimu sana kwa maslahi mapana ya Taifa letu πŸ’

kwa mfano chuki binafsi uliyonayo imekuharibu kabisa, huwezi kujadiliana tena, huna ustahimilivu hata kidogo...

ulichobaki nacho ni conclusions hata kwa usicho kielewa dah,aise πŸ’
 
 

Attachments

  • IMG_2939.jpeg
    14.2 KB · Views: 1
Hapo ameandika akiwa kaunta na konyagi jibapa amenunuliwa na kapewa bando la afu 3 anaona dunia ipo upande wake
kuna chairman wa Taifa wa chama fulani kikubwa tu cha siasa, alifakamia huo unyagi bapa mkubwa wote,

bahati mbaya wakazinguana na mchepuko, akapigwa mtama kimo cha mbuzi na yule mchepuko akavunjika mguu,

jamaa akasingizia kanguka kwenye ngazi dah πŸ’
 
Badala ya kuleta mada ya katiba mpya iki tujenge mifumo imara ya kuhakikisha uwepo wa Taifa imara kwa miaka 300 ijayo mnakuja kulamba miguu ya Wanasiasa humu.

Jinga kabisa mleta mada
huna haja ya mihemko, huna haja ya kufanya mazoezi ya kutaka kuanza kuyaporomosha matusi....

niliyowataji ndio mwarobaini wa katiba mpya yenye uelekeo na uhai wa zaidi ya miaka 300,

jipange nyuma yao πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…