Dkt. Tulia leo 26.10.2023 ameshiriki mdahalo wa kuomba kuchaguliwa kuwa Rais IPU

Dkt. Tulia leo 26.10.2023 ameshiriki mdahalo wa kuomba kuchaguliwa kuwa Rais IPU

Bashite amekupa nguvu mpya ya jukwaa.
 
Angekuwa ana unga mkono demokrasia, kapata ubunge kihalali na anafuata sheria ambazo kasoma ninge muunga mkono. Lakini kwa sasa naombea akose kabisa na Mungu usimpe huyu dawa ambaye hata katiba haitaki na anaunga wabunge fake bungeni.
Huyo ni zaidi ya shetani akose
 
Na Mjinga namba moja Tanzania ni Wewe uliyezaliwa Tanzania, unayetumia ardhi na rasilimali za Tanzania kuishi na bado unajificha nyuma ya keyboard kutukana ila huthubutu kusimama hata kwenye kitongoji chakokongea hizi mbapu
[emoji116]
JamiiForums404040806.jpg
 
27 October 2023
Luanda, Angola,

Mgombea toka Tanzania Atangazwa mshindi

Candidata da Tanzânia é a nova presidente da União Interparlamentar​


View: https://m.youtube.com/watch?v=A7lQxmMagXw
Source : TPA Online

A candidata da Tanzânia, Tulia Ackson, foi eleita, hoje, em Luanda, presidente da União Interparlamentar (UIP), para dirigir os destinos desta organização mundial, nos próximos três anos.

Por Redacção Última Atualização 14:19, 27 Out 2023
Tulia Ackson da (Tanzânia) concorreu no pleito eleitoral, que decorreu à margem da 147.ª Assembleia da UIP, com as candidatas Adji Kanoute, do (Senegal), Catherine Hara, do (Malawi), e Marea Hagi da (Somália).
O português Duarte Pacheco é o presidente cessante da UIP, organização fundada em 1889, uma das mais antigas do mundo e actualmente conta com mais de 46 mil deputados de 179 parlamentos nacionais, promovendo a paz e a democracia
 

Tanzanian candidate is the new president of the Inter-Parliamentary Union​

1698413369923.png

The Tanzanian candidate, Tulia Ackson, was elected, today, in Luanda, president of the Inter-Parliamentary Union (UIP), to direct the destinies of this global organization over the next three years.

By Editor Last Update 14:19, 27 Oct 2023
Tulia Ackson from (Tanzania) ran in the election, which took place on the sidelines of the 147th UIP Assembly, with candidates Adji Kanoute, from (Senegal), Catherine Hara, from (Malawi), and Marea Hagi from (Somalia).
Portuguese Duarte Pacheco is the outgoing president of the UIP, an organization founded in 1889, one of the oldest in the world and currently has more than 46 thousand deputies from 179 national parliaments, promoting peace and democracy
 
Kuna mjinga mmoja himu sijui anaitwa chuma msumali tendo,sijui chuki zao watapeleka wapi.
 

Tanzanian candidate is the new president of the Inter-Parliamentary Union​

View attachment 2794750

The Tanzanian candidate, Tulia Ackson, was elected, today, in Luanda, president of the Inter-Parliamentary Union (UIP), to direct the destinies of this global organization over the next three years.

By Editor Last Update 14:19, 27 Oct 2023
Tulia Ackson from (Tanzania) ran in the election, which took place on the sidelines of the 147th UIP Assembly, with candidates Adji Kanoute, from (Senegal), Catherine Hara, from (Malawi), and Marea Hagi from (Somalia).
Portuguese Duarte Pacheco is the outgoing president of the UIP, an organization founded in 1889, one of the oldest in the world and currently has more than 46 thousand deputies from 179 national parliaments, promoting peace and democracy

Hongera Dr Tulia
Hongera Tanzania
 
Back
Top Bottom