Dkt. Tulia: Viongozi walioapa akiwemo Mkurugenzi wa Uchaguzi wasome na kuelewa Ilani ya CCM ili kumuunga mkono Rais

Huyu tulia anajitahidi kufanya mambo mengi mazuri huko mbeya. Nashangaa kwa nini hupenda kutoa matamshi matata hivi wakati kazi zake zinajipambanua zenyewe.
 
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi akasome ilani ya CCM, WTF...spika wa bunge ndio anamshauri mwenzake hivyo?
 
Asante Spika.
Ila kuwa ukijua Huyu Kailima ni mzigo na bomu muda utaongeza.
Kwani hamtoshi hapo mahali.
Tume hii inatakiwa vichwa vya kuchaguliwa pande na Kona zote na hata ukiwa wa upande wa pili kuwemo ndani na isitoshe tumemianzie kwenye Halmashauri kuja juu.
 
Hii nafasi haiteuliwi na mwenyekiti wa CCM bali inateuliwa na Raisi kama Majaji, mwanasheria mkuu na mabalozi. Sasa kama nilivyosema mwanasheria mkuu naye anafuata ilani ya chama au katiba
Rais wa JMT ni lazima awe Mwenyekiti wa CCM
 
Huyu Mnyarwanda Mnyakyusa ana kauli tata sana!
 
Itachukua muda sana Waafrika kuwa na akili...

Sisi ni mateka wa ujinga wetu wenyewe, ni watumwa watiifu wa ujinga wetu wenyewe...
 
Rais wa JMT ni lazima awe Mwenyekiti wa CCM

Sio lazima na hata huyu Raisi alipata Uraisi kabla hajawa mwenyekiti. Lakini ukiwa Raisi haina maana kuwa teuzi unazofanya zote ni za kichama mfano mwana sheria mkuu sio nafasi ya kisiasa, majaji sio nafasi za kisiasa. Nchi zote za kidemokrasia ndiyo mfumo Raisi anateua lakini haina maana kila nafasi ni ya kisiasa. Nafasi ya mkurugenzi wa uchaguzi sio nafasi ya kisiasa. Sasa kwenye ilani kuna lini kuhusu mkurugenzi wa uchaguzi? Kuiba uchaguzi au?
 
Wasomi dizaini ya Dr. Tulia ndiyo wanasababisha vilaza kama baby taley wanunue PhD za mchongo.
 
Ndio sababu nimekuambia muundo wa Katiba ya JMT ni wa Chama kimoja

Rais wa JMT lazima awe Mwenyekiti wa CCM!
 
Ndio sababu nimekuambia muundo wa Katiba ya JMT ni wa Chama kimoja

Rais wa JMT lazima awe Mwenyekiti wa CCM!


Sasa muundo wa katiba ya nchi una uhusiano gani na muundo wa katiba ya chama. Mwenyekiti ni muundo wa katiba ya chama sio nchi. Wakati CUF ikigombea Malim Seif hakuwa mwenyekiti wa chama! Katiba ya nchi ni tofauti na katiba ya chama naona huelewi hili. Pata elimu kwanza inaelekea mambo mengi bado hujaelewi
 
Tulia ana ukuda na unazi wa KICCM Kupindukia. Mpaka anasahau majukumu ya kisheria ya baadhi ya Wateule kama Mkurugenzi wa Uchaguzi
 
Akemee na dhana hasi ya ‘kuula’…..

But I doubt it.

That would be asking too much from her.

Don’t think she’s capable of even thinking about it….
Roho mbaya inakusokoya bure. Be nice to your president Nigga.
 
Endelea kukariri!

Katiba ya JMT ni ya 1977

Katiba ya CCM ni ya 1977

Hivyo vyama vyenu Katiba zake zinaanzia 1992

Freeman Mbowe na Hamad Rashid ndio watanielewa Siyo Wewe!
 
Endelea kukariri!

Katiba ya JMT ni ya 1977

Katiba ya CCM ni ya 1977

Hivyo vyama vyenu Katiba zake zinaanzia 1992

Freeman Mbowe na Hamad Rashid ndio watanielewa Siyo Wewe!

Nionyeshe sehemu kwenye katiba inayoonyesha kwamba majukumu ya mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ni ya kichama na sio ya kisheria. Mwenyekiti wa trume kazi yake ni kusimamia uchaguzi sio sera. Unatafuta kiki sasa
 
Nionyeshe sehemu kwenye katiba inayoonyesha kwamba majukumu ya mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ni ya kichama na sio ya kisheria. Mwenyekiti wa trume kazi yake ni kusimamia uchaguzi sio sera. Unatafuta kiki sasa
Kwani sheria za Tanzania zinasimamiwa na nani?

Kama hujui muulize Mbowe au Halima James Mdee!
 
Kwani sheria za Tanzania zinasimamiwa na nani?

Kama hujui muulize Mbowe au Halima James Mdee!

Sheria za Tanzania zinaaimamiwa na mwana sheria mkuu sio Raisi! Umesoma siasa za wapi? Hata kwenye nchi za kubwa Raisi anachagua mwana sheria mkuu lakini haina maana anapeleleza wapinzani pekee ni msimamizi wa sheria zote kwa mtu yeyote. Nenda kaangalie sheria inasema kazi za mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ni nini?
 
Wewe unazungumzia sheria za Kwenye makaratasi!

Hiyo AG si ndio yuko Bungeni na akina Halima Mdee au umesahau

Unaishi kwa kukariri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…