TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Viwanja vya Moshono inapatika ...bia zako tuHivi huyu dada kaolewa,namuelewaga sana
Ova
Kwamba neno hilo hilo au jambo hilo hilo akilifanya mwanafunzi wa shule ya msingi Kishumindu litachukuliwa kwa uzito tofauti na linaposemwa au kufanywa na mwanafunzi wa PhD UDSM."Ubora wa filamu ya Royal tour ni wa kiwango cha chini kulinganisha na gharama iliyotumika,hata vijana wetu wa bongo movie wangeweza kutengeneza hii filamu, Tanzania ilishajitangaza,tusijidanganye kwamba Royal tour ndio itaitangaza Serengeti/Mlima Kilimanjaro" Dkt.Vicensia Shule
👇View attachment 2210309
Mbona mifano iko mingi tuMtaalam, Mbona hatujawahi kuona hizo docs kutoka kwa vijana wabongo zenye hizo basic issues kama unavyosema!
Mwalimu wa communication skills asijue huo ujinga?Muulizeni Kama anajua 4k ni nini
Soma andiko #141Hii Nchi inahitaji Rais mwenye akili zaidi ya Nyerere na mwendawazimu zaidi ya Magufuli lasivyo hakuna chochote tuta achieve kama Nchi.
Akili huna katiba ulitaka isifuatwe?tulianza kupigwa pale tu tulipokubali kukabidhi kijiti kwa huyu msaidizi, kuna mahali tumekwama...tunakula upumbavu wa uamuzi wetu sasa 😀
Mumeanza maupumbavu yenu, vitambulisho vya kitaifa mlisema nida wanaweza miaka kumi sasa hamna kitu, tuondoleeni ujinga hapa.Mbona mifano iko mingi tu
Mfano mdogo tu ni tamthilia ya Jua Kali iko very well shot and produced
Kwahiyo bongo watu wapo sema ndoivo tuu
Unaongelea nini we Popoma ?Mumeanza maupumbavu yenu, vitambulisho vya kitaifa mlisema nida wanaweza miaka kumi sasa hamna kitu, tuondoleeni ujinga hapa.
Mpe hizo bilion 9 uone..Kukosoa ni sawa ila kuponda kila kitu ni ujinga mpya..
Huyu anaekosoa basi afanye Filamu yake itasaidia
Ana hoja ipi, huyo ilimradi ampare tu mama.Mkuu jibu hoja Za Dr Shule [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
A 100% poor.Nakubaliana naye
Huyo dada ponda ponda jazz band tuAna hoja ipi, huyo ilimradi ampare tu mama.
Sisi tunafahamu hii ni vita ya kidini ambayo haitangazwi. Huyo mama wa kiIslam hata afanyejema lipi atakosolewa tu. "agenda ya siri". Ilikuwa hivyo hivyo kwa Kikwete.
Hii vita baridi ya udini mbona ipo sana Tanzania haisemwi tu.
Tukumbuke tu, panapofuka moshi panaficha moto.
Dkt.naona hataki kupapaswa vizuri."Ubora wa filamu ya Royal tour ni wa kiwango cha chini kulinganisha na gharama iliyotumika,hata vijana wetu wa bongo movie wangeweza kutengeneza hii filamu, Tanzania ilishajitangaza,tusijidanganye kwamba Royal tour ndio itaitangaza Serengeti/Mlima Kilimanjaro" Dkt.Vicensia Shule
👇View attachment 2210309
Usiinguze masuala ya kidini kwa watu ambao unajua kabisa sababu kubwa za kumkosoa Samia siyo za kidini.Ana hoja ipi, huyo ilimradi ampare tu mama.
Sisi tunafahamu hii ni vita ya kidini ambayo haitangazwi. Huyo mama wa kiIslam hata afanyejema lipi atakosolewa tu. "agenda ya siri". Ilikuwa hivyo hivyo kwa Kikwete.
Hii vita baridi ya udini mbona ipo sana Tanzania haisemwi tu.
Tukumbuke tu, panapofuka moshi panaficha moto.
Hapa ni udini tu, hakuna zaidi. Amini ujuavyo nami naamini nijuavyo.Usiinguze masuala ya kidini kwa watu ambao unajua kabisa sababu kubwa za kumkosoa Samia siyo za kidini.
Wengi wao wale wasio na JEMA, MISUKULE, Wanaharakati pamoja na Wazee wa Power struggle.
Hakuna mtu anamkosoa Rais kwasababu za kidini, kwasababu kwanza Hakuna wakristo wanaweza kukaa eti kutengeneza hoja zenye maslahi ya mwanasiasa wa chama.
Anyway, nakujua vizuri humu mitandaoni.Hapa ni udini tu, hakuna zaidi. Amini ujuavyo nami naamini nijuavyo.
Kuna hoja ipi ya kukosoa?
Filamu inayokosolewa, kazi ya kuifanyia filamu hiyo tu imeshazalisha Matrilioni, mlikuwa hamfatilii safari ya mama huko USA na mafanikio yepi kayaleta? Huu ni udini tu.
Umeongea vyema sana ila jifunze kwenye maneno yako wapi panastahili kuwekwa herufi "h".Wewe kumbe haumjuhi huyu dada,huyu haliwalipua Wahadhiri wa chuo hapo Mlimani kuwa kuna Wahadhiri wanaomba wasichana ngono kisa wanawapa Max za bure,akamwambi Jiwe hawasaidie maana hapa Mlimani kuna digrii za chupi, Magufuri alipoinuka akasema jambo hilo kamwachia mkuu wa chuo, badae mkuu wa chuo haliunda tume,sijajua tume ilitoa majibu gani,hajawahi kuwa na matatizo na Magufuri acha uongo