Dkt. Wilbert Kleruu - Utata wa kifo chake, historia na maisha yake

Swala sio uchaga.. swala sio uchadema.. swala Zima ni kwamba, kleruu alikuwa mdwanzi Sasa akayakanyaga kwa mhehe asiefagilia unyonge akamnyoosha mchana kweupee... R.i.p mwamwindi
Huyo Saidi ndio mshenzi pekee aliyenyongwa utawala wa Nyerere!
 
Huyo Saidi ndio mshenzi pekee aliyenyongwa utawala wa Nyerere!
Mchonga alitia saini kwa kuwa kleruu alikuwa mshkaji Wake. Ila kiukweli kleruu alikuwa mdwanzi na kwa taarifa yako tu mwamwindi anaehesabika Kama shujaa iringa kwa kitendo chake Cha kukataa unyonge na dharau dhidi ya kleruu
 
Kleruu ni mhanga wa sera zisizo shirikishi za awamu ya Nyerere.

Imagine kabla ya Uhuru akina Mwamwindi wanalimia matrekta halafu ghafla mashamba yanataka kutaifishwa muwe mnalima ya Kijiji.WTF.

Ila kuna upotoshaji mwingi sana kwenye hii habari.

Mjengwa Majid alifanya mahojiano ya kina kabisa mwaka 2012 na polisi waliokuwa Iringa central siku ya tukio,mtoto mkubwa wa Said aitwae Aman Mwamwindi pamoja na wakulima wenzie Mwamwindi juu ya kilichotokea na nadhani ile ndiyo reference bora zaidi ya hili tukio.
 
"ni mojawapo ya hukumu tatu tu za kifo zilizotekelezwa wakati wa utawala wa Nyerere" mwenye kujua hizo hukumu nyingine mbili zilitolewa kwa kina nani na kwanini atujuze!!
 
Sera ya ujamaa ilikuwa Sera ya kipumbavu sanaa mzee wangu kama si kujiongeza angekufaa maskini hadi Leo una magari na mashamba kiongozi anakunyang'anya eti wewe. Ni mhujumu uchumi dahh.....hataki hata kusikia jina LA nyerere

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Jisomee...

 
Hilo jina kwa Mara ya kwanza nililiona nilpofka chuo cha mifugo na kilimo ironga kilosa morogoro kuna bweni pale linaitwa jina hilo
 
Kwa ardhi ya Tanzania ilivyokubwa na kwa wakati huo, sikuona ulazima wa kutumia nguvu kubwa hivyo
 
Kwa maelezo mbalimbali hapo juu inaonekana Mkuu wa mkoa alikuwa mchokozi
 
Kwa maelezo mbalimbali hapo juu inaonekana Mkuu wa mkoa alikuwa mchokozi
Mnooo....tena alitoka kunywa pombe kijiji cha Chang'olo,ndio akaja na pombe zake hadi shambani
 
Nemo iudex in propria causa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni shujaa kweli
Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Ikitokea mtu akashikwa na hasira baada ya kutukanwa hadharani na kiongozi kwa uonevu, kwa nyakati hizi nini kitatokea?
 
Ikitokea mtu akashikwa na hasira baada ya kutukanwa hadharani na kiongozi kwa uonevu, kwa nyakati hizi nini kitatokea?
Pascal Mayalla tusaidie kujibu swali hilo kwani mwenzetu umesoma sheria pale mlimani.
 
Alikuwa daktari wa nini huyu Kleruu? Alikuwa kabila gani?
Du ! Post hii ni ya long time sana, lakini nimeona nichangie ! Mkuu hukumjua Dr. Kleruu kweli ? But after numerous responses you came to understand who he was and what he did ! Happy new year 2020 🙂
 

Ohooo [emoji15][emoji15]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…