Pre GE2025 Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna ndoto niliota jana kwamba huyu mzee kuanzia ishu ya kuropoka mpaka kukamatwa na kuwekwa lupango bila dhamana ilikuwa project ya kimkakati kwamba mzee aonekane yuko kinyume na bi-mkubwa ili Chadema waingie mtego wa kumuamini kwa mara nyingine wampokee na kumpa kiti ili akamalizie "kazi maalum" then akimaliza anapita hivi
Mpaka Chadema waje kustuka kwamba waliingizwa chaka na ccm inakuwa too late!
Ni ndoto tu lakini .
 
100%✓
 
DPP ni shetani kabisa na tunaongozwa na mashetani, unamtesa mtu ndani kumkomoa kisa haja sifia then una mwachia huru. Pumbavu kabisa
 
Mambo ya hovyo sana, eti sina haja ya kuendelea na hii kesi.

Halafu mtu anaachiwa hakuna fidia wala chochote, sheria za hovyo kabisa.
Incase kafia mahabusu na alikuwa hana hatia ingekuwaje?
 
Kuna mambo mengine yana fanywa na viobgozi wa EAC ni kuchekesha sana, wameona aibu wenyewe, kule besigye kaachiwa na Tz wakaona aibu pia wakakimbia kumwachia slaa, ni kesi kijinga tu za watu incompetence walioshika madaraka.
 
Mungu Mwema 🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…