Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kuwa na adabu basi, Dr Slaa ni mzee kuliko baba yako, kama ana mke ni mzee kuliko mama yako. Fikiria kabla y kudhalilisha watu wazima kama wazazi wako.Dah akitoka hapo adabu unarudi home unaambiwa houseboy alikuwa analala chumbani kwako
Vuta hisia kama angekuwa mzazi wako! Ushabiki mwingine ni wa kitoto sana.Ameshika adabu sasa!! Ameionja joto ya jiwe!
Kwani usafi ni kunyamaza au usafi ni kutoiba kura na pesa za umma?Aje atulie, ale pesa zake alizotengeneza aache harakati, awe kiongozi msafi na salama kwa chama chake
Slaa ni mhuni tuu kama akina Lissu!Hapo hapo unataka watu wawe wakali kwa serikali ili kuiondoa madarakani.hapo hapo unataka watu waonewe ili washike adabu watulie.
Chiemu chichiem chichiem nawaita mara kumi,haya mambo hayaaa,mjitafakari ma mjichukulie hatua kabla hatua za kulazimishwa kuzichukua.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, TBC
Too low!Leo mkewe atamkoma usiku yale mambo
Ana usongo nayo hadi basi
atamkoma kwa mashuzi na kukoroma labda, unaona kabisa anatembea upande kama fiat iliyokata center bolt.Leo mkewe atamkoma usiku yale mambo
Ana usongo nayo hadi basi
Ndiyo sababu ya kuwekwa kwake mahabusu?!Lissu ndio alisema uchaguzi ukiisha ataachiwa eti kakamatwa ili Mbowe ashinde.
Huyu mzee laaana ya kusema Mbowe ni gaidi na Lissu kapigwa risasi na chadema ndio vinamtafuna.
Muda wowote wanamdakata na kumshitaki kwa same allegation.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, TBC
Hakuna mwanadamu mwenye haki ya kubagaza wengine!Vuta hisia kama angekuwa mzazi wako! Ushabiki mwingine ni wa kitoto sana.
Fisiem bana wanadai wanachama mil 12 lakini anawatoa kamasi dr slaa mmoja yamebaki na mbinu za kishamba yaani msaada wa polisi na mahakama mae!Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, TBC
Yaani acha tu! Wanatumia vyombo vya dola na nguvu za kiutendaji kunyanyasa tuKwa hiyo lengo lao lilikuwa ni kumnyanyasa tu na si kingine.
Typical banana republic shenanigans.
huyo mzee huko jela na kamatakamata ya mapolisi ccm sio mgeni ila kwa kauli yako ya woga uwenda ungekuwa wewe ungetoka na mimba wahuni wangegawana yas kwa zamuDah akitoka hapo adabu unarudi home unaambiwa houseboy alikuwa analala chumbani kwako
karudia nini kunguru weweIla utakuta kesho karudia tena
Hajapata dhamana , DPP kaondoa kesi mahakamani kwa kutumia kifungu cha "nole procequi".Mwanasiasa mkongwe, Dk. Wilbroad Slaa. Dk Slaa ameachiwa huru kwakuwa jamhuri haina nia ya kuendelea na kesi hiyo hivyo amepata dhamana yuko huru.🥺🥺🥺😒😒
ila ujumbe wake mmeupata na pengine alijua watamkamata na hawatamfanya kituSasa aache mambo ya uzushi na ajue uzee umeshawadia.Yaani unasema una taarifa za ikulu,halafu unategemea wenye ikulu wakuache.Vitu vingine ni bora tuhakokishe tuna akili kabla ya kudanganya.