DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Elimu ya kukariri haijamkomboa
Hata Kama MTU haujaenda shule Ila kupitia Quruan na bible imeandikwa kuwa HEKIMA ndo inashikilia utajiri , inashikilia na mafanikio.
Hivyo alibidi kujua Elimu ya darasani inaweza kukufikisha juu Ila kuendelea kubaki juu inahitajika Hekima .
PhD haijamsaidia chochote .
Ukiwa kiongozi unakuwa upo katika spotlight unatazamwa Sana so tabia Kama, uzinzi ,ulevi , wizi unabidi kuzicontrol Sana .
Lack of emotional intelligence
Being vulnerability is easy for those who are driven and not driver.
Hata Kama MTU haujaenda shule Ila kupitia Quruan na bible imeandikwa kuwa HEKIMA ndo inashikilia utajiri , inashikilia na mafanikio.
Hivyo alibidi kujua Elimu ya darasani inaweza kukufikisha juu Ila kuendelea kubaki juu inahitajika Hekima .
PhD haijamsaidia chochote .
Ukiwa kiongozi unakuwa upo katika spotlight unatazamwa Sana so tabia Kama, uzinzi ,ulevi , wizi unabidi kuzicontrol Sana .
Lack of emotional intelligence
Being vulnerability is easy for those who are driven and not driver.