DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Vipimo vinaweza kuonekana kabinti kweli kalilawitiwa.Kama vipimo vya maabara vimethibitisha! Sijui kama atachomoka.
Hawa wanaccm ukiwasikiliza utaw
TakhbiiiiiirrrrSurah An-Nur (24:2)
Aya hii inaeleza adhabu kwa wale wanaopatikana na hatia ya uzinifu:
"Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanaume, wapigeni kila mmoja wao bakora mia. Wala isiwashikeni huruma juu yao katika Dini ya Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnaamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la Waumini."
😆😆😆TOKA MAKTABA :
11 June 2024
Tazama hotuba ya Mwisho ya Dkt Yahaya Nawanda siku moja kabla ya uteuzi wake kutenguliwa, aliyoitoa kwa viongozi wa dini ambao ni wajumbe wa kamati ya amani wa mkoa wa simiyu.Alipokuwa akifungua semina ya kubadilisha na uzoefu na kujadili namna ya kuendesha kamati hizo baina ya wajumbe wa kamati ya amani ya mkoa wa Simiyu na mkoa wa Mwanza iliyofanyika Bariadi mjini jana June 10,2024.... mbele ya Askofu Bundala, Sheikh Twaha na viongozi wengine wazito wa imani ...
UTULIVU WA MOYO NA WA KIROHO WATAWALA HOTUBA YA MKUU WA MKOA
View: https://m.youtube.com/watch?v=OkAZSbuEB5I
Mungu amtie Nguvu Mimi nimeshamsamehe Ila asiache kusali.TOKA MAKTABA :
11 June 2024
Tazama hotuba ya Mwisho ya Dkt Yahaya Nawanda siku moja kabla ya uteuzi wake kutenguliwa, aliyoitoa kwa viongozi wa dini ambao ni wajumbe wa kamati ya amani wa mkoa wa simiyu.Alipokuwa akifungua semina ya kubadilisha na uzoefu na kujadili namna ya kuendesha kamati hizo baina ya wajumbe wa kamati ya amani ya mkoa wa Simiyu na mkoa wa Mwanza iliyofanyika Bariadi mjini jana June 10,2024.... mbele ya Askofu Bundala, Sheikh Twaha na viongozi wengine wazito wa imani ...
UTULIVU WA MOYO NA WA KIROHO WATAWALA HOTUBA YA MKUU WA MKOA
View: https://m.youtube.com/watch?v=OkAZSbuEB5I
Si tumsime anasema walitumia mateAibu kwa familia,Phd kulawiti bila kilainishi
mate ni kilainishi asilia 😀 😀Aibu kwa familia,Phd kulawiti bila kilainishi
Nikisoma case law, hasa kesi zilizoamliwa na mahakama ya rufaa, hapa Tz, huwa naona ugumu hujitokeza, pamoja na uthibitisho kwamba X kabakwa/kulawitiwa, nani aliyefanya hivyo. Ngoma huwa ku'prove' na mahakama inataka itoe hukumu bila kuacha mashaka yoyote (bila favour wala fear). Sasa hapa...ngoja tusubiri itakuwaje.Wacha haki itendeke. Swali langu, Je, ikithibitika ni kweli Nawanda alimlawiti yule binti, zile pesa milioni 10 alizopewa binti atazirudisha au zitakuwa zake au??
Wanasheria mtusaidie hapa. Maana binti aliulizwa ulipewa kiasi gani na Nawanda. Akajibu, alipewa milioni 10 cash. Anazo na hajazitumia hata shilingi.
sawa mrembo nimekusomaNimekupa tu angalizo kijana, jf ina mambo mengi mno! unapaswa kujikita kwenye hoja tu
Wacha haki itendeke. Swali langu, Je, ikithibitika ni kweli Nawanda alimlawiti yule binti, zile pesa milioni 10 alizopewa binti atazirudisha au zitakuwa zake au??
Wanasheria mtusaidie hapa. Maana binti aliulizwa ulipewa kiasi gani na Nawanda. Akajibu, alipewa milioni 10 cash. Anazo na hajazitumia hata shilingi.
Na yule gekuli alimsomeka kidume chupa ya bia kwa kule nyuma!!Samia anateua viongozi wenye kudhalilishwa Serikali yake,
1. Naibu waziri, alisababisha mwanachuo kufariki, Hadi Leo hakuna kesi.
2. Na Wana anatuhumiwa kulawiti.
Sasa tatizo Hasa ni nini🤔
Nyuma ya nyumba au?Na yule gekuli alimsomeka kidume chupa ya bia kwa kule nyuma!!
nawanda alimla gen z wa bongo tigoo mazee dah