Dkt. Yahaya Nawanda apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma za Ulawiti, aachiwa kwa dhamana

Hapo hakuna kesi, CCM inanmtengenezea mazingira ya kukutwa hana hatia maana wafiraji na wasagaji wamejazana huko CCM
 

..ukikosekana ushahidi wa kitabibu ndipo kesi inakwenda ktk hatua ya kuangalia credibility ya mtoa madai ya tukio la ubakaji.

..Kama kuna ushahidi wa kitabibu kwamba huyo binti aliingiliwa kesi itakuwa ngumu kwa mheshimiwa RC.

..Katika mazingira hayo sina uhakika kama madai kwamba huyo binti hana tabia njema, au aliwahi kumshitaki mtu mwingine kama anavyofanya kwa RC, yatapewa uzito mkubwa.
 
Wilaya zipo nyingi kuliko mikoa.Ni mara chache watu kupanda kutoka Mkuu wa Wilaya mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa.Wengi huishia hapo hapo na kupotea.
Kwa yeye kupanda Cheo haraka,ninamchukulia kama mtu mwenye Bidii Fulani na Bahati.Ndio maana nilisema Nyota yake iling'aa.
Ingekuwa ni Zerobrain kabisa kama unavyosema asingekuwepo hapo alipo.
Kuhusu Mkemia kujua tofauti kati ya Uke na njia ya haja kubwa kwa kutumia karatasi zilizotumika kufuta uchafu baada tendo hilo siwezi kujua.
Kama akiiona tofauti hiyo na ikatumika kumtia hatiani mtuhumiwa nataishangaa Mahakama kwa uamuzi huo.
Kweli unaamini Kuwa mtu anaweza kuandika ujumbe wa kumuomba radhi mwanamke kwa kumuingilia kinyume na maumbile kwenye simu?
Kama aliandika kweli basi ndio vizuri,kesi inaisha mapema.
Tunachotaka Haki itendeke,pande zote mbili.
Kuhusu Kwa nini hawajamharibia Mpina,inategemea na dhima ya wanaotaka kukuharibia.Pia weak points zako,Umegusa nini au maslahi ya nani!
Mimi nimezungumzia ninachokiona tu,sio lazima kiwe sahihi.
 
Hapo sasa!
 
Mtuhumiwa akizidai tu hizo pesa atakuwa amemulika kwenye uthibitisho kwamba katika siku tajwa, saa na mahali alikutana na huyo msichana na akamtendea kitendo kilichozidi mahusiano ya kimapenzi ambayo mwenzie yalimsababishia madhara ya kimwili na kisaikolojia bila ridhaa hivyo alivunja sheria.

Sexual offences special provisions section 154 (1), (a)
 
Kosa la kubaka na kulawiti sina hakika kama lina dhamana.
 
Yesu anasemaje kuhusu kulawiti?
1 WAKORINTHO 6:9 INASEMA
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti.

ENGLISH: "Know ye not that the unjust shall not inherit the kingdom of God? Do not err: neither fornicators nor idolaters nor adulterers nor effeminate nor homosexuals.

TAFSIRI NYINGINE: 9 Or do you not know that wrongdoers will not inherit the kingdom of God? Do not be deceived: Neither the sexually immoral nor idolaters nor adulterers nor men who have sex with men[a] 10 nor thieves nor the greedy nor drunkards nor slanderers nor swindlers will inherit the kingdom of God.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…