Dkt. Yahaya Nawanda apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma za Ulawiti, aachiwa kwa dhamana

Dkt. Yahaya Nawanda apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma za Ulawiti, aachiwa kwa dhamana

Mwanamke huenda atawataja vigogo wengine wenye tabia hiyo. Ila alisema anajofia maisha yake, hasa kupambana na wasiojulikana.
 
Ameburuzwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Mwanza akikabiliwa na kosa moja la Ulawiti

Amepandishwa leo July 9 baada ya makelele mengi ya wadau kutaka haki itendeke

Bado haijajulikana kama ataswekwa Rumande au atapata dhamana.

====

Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Yahaya Nawanda, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mwanza na kusomewa shitaka moja la kumwingilia kinyume na maumbile Tumsiime Ngemela (21) katika eneo la Rock City Mall jijini Mwanza.

Mshtakiwa huyo amefikishwa katika mahakama hiyo mapema leo Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka hilo ambalo anadaiwa kulitenda Juni 2, 2024 katika eneo hilo kinyume na kifungu cha sheria cha 154 kifungu kidogo (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022

Mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza, Erick Maley, Waendesha mashtaka wa kesi hiyo ambao ni Wakili wa serikali Magreth Mwaseba na Martha Mtiti waliitaja kesi hiyo kuwa ni kesi namba 1883 ya mwaka 2024.

Hatahivyo mshtakiwa alikana shtaka hilo na yuko nje ya dhamana baada ya kukamilisha masharti aliyokuwa amewekewa ambayo ni kuwa mtumishi wa serikali pamoja na bondi ya mali isiyohamishika yenye thamani ya Sh 5 milioni.

Baada ya kukamilisha masharti hayo, Mshtakiwa yupo nje ya dhamana hadi Julai 16, 2024 ambapo kesi hiyo itaanza kusikilizwa kwa hoja za awali huku upande wa mlalamikaji ukitakiwa kwenda na mashahidi.

Pia soma
Kwa sheria khasa ilivyo Nawanda hastahiki dhamana na ana makosa matatu makubwa sana.

1. Kulawiti

2. Kutaka kupindisha sheria isichukue mkondo wake yaani "Perverting the course of justice" kwa kutoa fedha ili kufuta kesi.

3. Matumizi mabaya ya ofisi kama mtumishi wa serikali na kukiuka maadili ya uongozi.

Kesi hii ikifanyika kwa ufanisi Tanzania itakuwa imepiga hatua kubwa sana kifikra.
 
Mahakama ioneshe kwamba haki ianelekea kutendeka. Ila kwa yanayotikea TLS tunaoata shida sana kujua haki jinai zetu hazilingani na maneno ya bilionea ROstam Aziz yale ya " That one breakthrough phonecall" kutoka kwenye mhimili uliojichimbia chini zaidi bumbwini.
 
Kwa sheria khasa ilivyo Nawanda hastahiki dhamana na ana makosa matatu makubwa sana.

1. Kulawiti

2. Kutaka kupindisha sheria isichukue mkondo wake yaani "Perverting the course of justice" kwa kutoa fedha ili kufuta kesi.

3. Matumizi mabaya ya ofisi kama mtumishi wa serikali na kukiuka maadili ya uongozi.

Kesi hii ikifanyika kwa ufanisi Tanzania itakuwa imepiga hatua kubwa sana kifikra.
Ameshitakiwa kwa kosa moja tu la kulawiti.
 
Alikwenda hospitali ndiyo. Shida itakuwa nani sasa kafanya hivyo? Maana tuhuma tu siyo ushahidi; ushadi ni kuithibitishia mahakama kwamba aliyefanya hivyo ni huyu mkuu. Nani aliona? Kama aliona ataonyeshaje alivyoona, na unajua mawakili walivyo vibaya kwenye cross-examination, wanajitoa kwenye reli' hata kama una nondo. Yaani, ngoja tusubiri maana nilisikia kama upelelezi umekamilika.
Kama walichukuwa DNA na kesi ikafanya kihalali bila Samia kuingiza mkono wake RC atawekwa kwenye kona mbaya sana.
 
Aibu kwa familia,Phd kulawiti bila kilainishi
Nasikia Ni AL HAJ halafu anafunga mfungo wa ramadhani lkn pia ameshawahi kuonekana masjid.
Sijui mke na watoto wake wanajisikiaje. Vijana wake wa kiume wanajisemea kimoyo moyo, kumbe baba anapenda tigo? Hivi nanihii atakua na marinda kweli Kama baba alianza huu mchezo zamani?
 
Ni kweli, lakini kwa sheria, uwajibikaji na kufuata maadili ya uongozi, ana makosa hayo makubwa matatu.
Hayo mawili ameshaadhibiwa ndiyo maana yuko bench sasa hivi.
Kama ameshtakiwa kwa kosa moja tu la ulawiti basi kuna namna inachorwa ili achomoke. Au pengine hayo mengine yatafuata baadae? Kwa sababu hayo mengine yana ushahidi wa nguvu sana.
Si unaona hata mwenyewe hana wasi wasi muda wote anacheka na kutabasamu. Hiyo kesi imeshamalizwa 'kimila' kinachaoendelea hapo ni mazingaombwe tu mwisho wa siku anaonekana hana hatia.
 
Hii nchi sijui inaenda wapi mkuu wa mkoa anatuhumiwa kula washeli ya mwanafunzi, Mtwara mwalimu kala mvua thelathini kwa kuliwa washeli na mwanafunzi.!!!!
 
Back
Top Bottom