Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
zote mbili zina dhamanaYa kubaka ndiyo haina dhamana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zote mbili zina dhamanaYa kubaka ndiyo haina dhamana.
From top to bottom.Hapo hakuna kesi, CCM inanmtengenezea mazingira ya kukutwa hana hatia maana wafiraji na wasagaji wamejazana huko CCM
Kwa sheria khasa ilivyo Nawanda hastahiki dhamana na ana makosa matatu makubwa sana.Ameburuzwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Mwanza akikabiliwa na kosa moja la Ulawiti
Amepandishwa leo July 9 baada ya makelele mengi ya wadau kutaka haki itendeke
Bado haijajulikana kama ataswekwa Rumande au atapata dhamana.
====
Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Yahaya Nawanda, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mwanza na kusomewa shitaka moja la kumwingilia kinyume na maumbile Tumsiime Ngemela (21) katika eneo la Rock City Mall jijini Mwanza.
Mshtakiwa huyo amefikishwa katika mahakama hiyo mapema leo Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka hilo ambalo anadaiwa kulitenda Juni 2, 2024 katika eneo hilo kinyume na kifungu cha sheria cha 154 kifungu kidogo (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022
Mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza, Erick Maley, Waendesha mashtaka wa kesi hiyo ambao ni Wakili wa serikali Magreth Mwaseba na Martha Mtiti waliitaja kesi hiyo kuwa ni kesi namba 1883 ya mwaka 2024.
Hatahivyo mshtakiwa alikana shtaka hilo na yuko nje ya dhamana baada ya kukamilisha masharti aliyokuwa amewekewa ambayo ni kuwa mtumishi wa serikali pamoja na bondi ya mali isiyohamishika yenye thamani ya Sh 5 milioni.
Baada ya kukamilisha masharti hayo, Mshtakiwa yupo nje ya dhamana hadi Julai 16, 2024 ambapo kesi hiyo itaanza kusikilizwa kwa hoja za awali huku upande wa mlalamikaji ukitakiwa kwenda na mashahidi.
Pia soma
- Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi
- MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT
- Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo
- RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda
But vipimo vitaweza prove kama ni yeye bila jamaa kuacha DNA?Kama vipimo vya maabara vimethibitisha! Sijui kama atachomoka.
Kuna story watu walikuwa wanasema wale mabasha wa Mombasa waliokubuhu huwa wanakausha kinyesi halafu wanatembea nacho na kunusa kama ugoro.Watu sampuli hii ndiyo hata akiona kinyesi cha mtu mahali ukuni unamsimama.
Ameshitakiwa kwa kosa moja tu la kulawiti.Kwa sheria khasa ilivyo Nawanda hastahiki dhamana na ana makosa matatu makubwa sana.
1. Kulawiti
2. Kutaka kupindisha sheria isichukue mkondo wake yaani "Perverting the course of justice" kwa kutoa fedha ili kufuta kesi.
3. Matumizi mabaya ya ofisi kama mtumishi wa serikali na kukiuka maadili ya uongozi.
Kesi hii ikifanyika kwa ufanisi Tanzania itakuwa imepiga hatua kubwa sana kifikra.
Ni kweli, lakini kwa sheria, uwajibikaji na kufuata maadili ya uongozi, ana makosa hayo makubwa matatu.Ameshitakiwa kwa kosa moja tu la kulawiti.
Na hata mtu akijamba tu anaweza kutambua kama huyo mtu ana marinda au hana.Kuna story watu walikuwa wanasema wale mabasha wa Mombasa waliokubuhu huwa wanakausha kinyesi halafu wanatembea nacho na kunusa kama ugoro.
Kama walichukuwa DNA na kesi ikafanya kihalali bila Samia kuingiza mkono wake RC atawekwa kwenye kona mbaya sana.Alikwenda hospitali ndiyo. Shida itakuwa nani sasa kafanya hivyo? Maana tuhuma tu siyo ushahidi; ushadi ni kuithibitishia mahakama kwamba aliyefanya hivyo ni huyu mkuu. Nani aliona? Kama aliona ataonyeshaje alivyoona, na unajua mawakili walivyo vibaya kwenye cross-examination, wanajitoa kwenye reli' hata kama una nondo. Yaani, ngoja tusubiri maana nilisikia kama upelelezi umekamilika.
Wewe mkuu mchokozi sana, sasa atakumbukaje?Sasa unataka afungwe Kwa kosa gani!? Wewe waliokulawiti wamefungwa wangapi?
Kama ameshtakiwa kwa kosa moja tu la ulawiti basi kuna namna inachorwa ili achomoke. Au pengine hayo mengine yatafuata baadae? Kwa sababu hayo mengine yana ushahidi wa nguvu sana.Ameshitakiwa kwa kosa moja tu la kulawiti.
Nasikia Ni AL HAJ halafu anafunga mfungo wa ramadhani lkn pia ameshawahi kuonekana masjid.Aibu kwa familia,Phd kulawiti bila kilainishi
Hayo mawili ameshaadhibiwa ndiyo maana yuko bench sasa hivi.Ni kweli, lakini kwa sheria, uwajibikaji na kufuata maadili ya uongozi, ana makosa hayo makubwa matatu.
Si unaona hata mwenyewe hana wasi wasi muda wote anacheka na kutabasamu. Hiyo kesi imeshamalizwa 'kimila' kinachaoendelea hapo ni mazingaombwe tu mwisho wa siku anaonekana hana hatia.Kama ameshtakiwa kwa kosa moja tu la ulawiti basi kuna namna inachorwa ili achomoke. Au pengine hayo mengine yatafuata baadae? Kwa sababu hayo mengine yana ushahidi wa nguvu sana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aibu kwa familia,Phd kulawiti bila kilainishi
What a sad ending!! Dah!!Namuombea sana mheshimiwa avuke salama huu mtihani,hawa mabinti ni kuwa nao kwa makini sana mi mwenyewe nilinusurika kunaswa na mtego kama huu wa Nawanda
Jamaa amebobea kwenye nini!? Taaluma!?Aibu kwa familia,Phd kulawiti bila kilainishi
uliuwa unafirwa au unafira? mashetani kama ninyi mmeharibu watoto wa watu, siku yenu ipo.Namuombea sana mheshimiwa avuke salama huu mtihani,hawa mabinti ni kuwa nao kwa makini sana mi mwenyewe nilinusurika kunaswa na mtego kama huu wa Nawanda