Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

Okay, let's make this as short as possible.

Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.

Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?

Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.

Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.

Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.


Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
Ukikua utaacha hata kuku wanakupita akili jomba na kadegree kako kakuunga unga Ukiwa jitu zima na kaakili kakitoto ni tatizo
 
Utazaa watoto kama umbwa?huyu na mama yake yule na mama yake utaweza vipi kuwa-manage kimalezi kama hauishi na mama zao?

Kutoa manii na kulea mtoto ktk njia sahihi itakayomsaidia baadae ni vitu viwili tofauti,maisha siyo simple kiasi hiko na ni rika tu linakusumbua kuna wakati utafika utajiona mjinga kuwaza hivi,unapoona vitu ktk jicho jepesi kama hivi elewa kuna siku mtoto utakaemzaa atabikiriwa na bwana wa mwanamke uliyemzalisha kwa sababu alikuwa karibu yake kuliko wewe mwenye mbegu yako.
Umeelewa kilichoandikwa au umekulupuka? Hakuna tunapopinga malezi mema ya mtoto chini ya uangalizi wa baba na mama ambacho tunapingana nacho na kinatufanya tuji-adjust kitaalamu ni zile content zilizopo kwenye ule mkataba wa ndoa
 
Jibu swali kwanza.
Premises ya swali lako haufanani na mada iliyopo mezani, so technically swali lako ni la kijinga.

Katika mjadalla ambao mada iliyopo mezani ni kuhusu uchaguzi wa 2025 then mtu anaibuka na hoja kuhusu mafuta ya Diddy na anataka ujibu.

Unajiuliza hiyo mada imefikaje na ina uhusiano gani na mada ambayo ipo mezani hakujibu.
 
Okay, let's make this as short as possible.

Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.

Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?

Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.

Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.

Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.


Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
Hatuoi kusolve problem mkuu, kama unaoa ili kusolve problem hata mimi nakushauri usioe
 
Okay, let's make this as short as possible.

Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.

Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?

Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.

Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.

Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.


Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
Huna akili

Nani amekuambia nyege ni temporary problem?

Umeandika pumba tupu

Kuna uwezekano wewe ni shoga

Kakojoe ulale
 
Wakati tunazidi kukataa ndoa, upande wa pili kuna watu wana enjoy ndoa zao na wengine wanataabika.
Walioweza waliwezaje? Na sisi wengine tunafelije.
Ikiwa imeandikwa ishi na mwanamke kwa akili, hivyo basi wenye akili tu ndo wataweza.
Mtoa mada, acha kubeza watu wanaokubali ndoa. Kama hupendi ndoa basi, toa sababu zako bila kuwaita wajinga ambao wanakubali ndoa. La sivyo utaonekana kama mtu aliyevurugwa.
 
Kutafuta pesa bila kua sehemu utulivu sidhani kama utafanya vizuri nachoamini mm tunapokua na mtu sahihi hata utafutaji unatafuta ukiwa ktk mood Safi lkn ukiwa na stress lazima uwe wrong.
Wasichofahamu watu ni kuwa, nitaiweka kwa lugha ya kigeni
1. Single men think they make money, but
2. Married men make more money than single men and
3. Married men with children make more money than just a married man with no child

Akili kumkichwa
 
Okay, let's make this as short as possible.

Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.

Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?

Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.

Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.

Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.


Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
Kudadeki kataa ndoa mna speed
 
Unaleta utani kwenye vitu serious bro!

Huwa wanaumwa ghafla hata nguvu ya kushika simu unakoswa.

Huwa wanaumwa hata mwaka mzima huna nguvu ya hata ya kula, kupika, kuoga na kwenda chooni.

Kama una mshikaji ambaye anaweza kuwa na wewe masaa yote. Akulishe, akuogeshe, afue nguo ulizojinyea na kuwa wewe muda wote kwa miezi hata mitatu tu hongera sana!
Kuwa na mke sio guarantee kwamba atakuuguza siku ukiumwa hoi. Kuna ambao wamekimbiwa na wake zao sababu wameumwa. Mfano kaka yangu mimi, aliumwa mke akamkimbia tukawa tunauguza sisi. Ipo mifano mingi tu.
 
huku jf inasemekana wanawake ndio kipaumbele cha kutaka ndoa kuliko wanaume,,ila wabobezi wa kuanzisha mada za ndoa ni wanaume 🥲🥲akili kumkichwa.
 
Okay, let's make this as short as possible.

Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.

Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?

Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.

Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.

Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.


Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
Mwamba umeua!
Inshort wewe ni "kataa ndoa"
 
Utazaa watoto kama umbwa?huyu na mama yake yule na mama yake utaweza vipi kuwa-manage kimalezi kama hauishi na mama zao?

Kutoa manii na kulea mtoto ktk njia sahihi itakayomsaidia baadae ni vitu viwili tofauti,maisha siyo simple kiasi hiko na ni rika tu linakusumbua kuna wakati utafika utajiona mjinga kuwaza hivi,unapoona vitu ktk jicho jepesi kama hivi elewa kuna siku mtoto utakaemzaa atabikiriwa na bwana wa mwanamke uliyemzalisha kwa sababu alikuwa karibu yake kuliko wewe mwenye mbegu yako.
Tupe na hoja mkuu faida za ndoa, ukimkrash mwenzako
 
Siku utakayoumwa usiku na kukosa mtu wa kukupa msaada, ndio utajua umuhimu wa kuoa.

Sorry mleta maada sikukusudii wewe. Ila binafsi naona hizi maada zinaletwa na mashoga ili tuwaone wanawake ni wabaya.

Wanawake wema bado wapo.
Kwaiyo Yesu kristo hakuoa vip unaonaje?.Mapadri, Papa hajaoa ni Shoga angalia maneno yako
 
Back
Top Bottom