Yah!Daah...hivi unauwa kisa mapenzi?!!Kuna Wanawake mashetani sana
Yah! Truly unstoppableKama ni kweli mkuu.. basi mwanamke akiamua kuwa katili hakuna cha kumzuia.
Wow!Happy new year DeepPond
Baadae uko labda inshallah Mungu akijalia[emoji4]Ila deep pond story zako zinafundisha hauwezi kufanya nanna ukaandika vitabu vya story au muvi mbona zinavutia sn na unajua kusimulia ukawa director kabisa hiyo frusa mzee.
Shukran sn mkuu[emoji1431]U mwandishi mzuri sana..story ina funzo kubwa!
Alikula Mwingine aisee
Dah!Alikula Mwingine aisee
Utakula ndizi kwa kutumia kijikoDah!
Mwenzio Nilisubiri mwaliko mpk basi[emoji22]View attachment 2468548
Sent using Jamii Forums mobile app
Rushwa na siasa vimeliharibu Sana jeshi letuMaaskari wa Tanzania wengi sio watu wazuri,ukikuta polisi na mbwa wanahitaji msaada msaidie mbwa askari ACHA afe
Ha ha ha ....Utakula ndizi kwa kutumia kijiko
Alimshona lakini,Hii ni riwaya
Kwenye maisha halisi
Mwanaume timamu angemshona huyo nesi siku ya pili tu
Lugha za mwili huwa zinaongea mapema tu siku ya kwanza na ya pili zilitosha kabisa kuonyesha kuwa hiyo chakla iko tayari kuliwa
MpareNesi kwa hasira akamwambia kua hiyo ndoa haitofanikiwa, labda Kam sio yeye (kataja kabila lake)
Mnooooo vimeharibu Sana askari hawako Kwa ajili Yako,wapo Kwa maslahi YaoRushwa na siasa vimeliharibu Sana jeshi letu
Sio Tena kwa maslahi ya raia na Mali zao,
Bali limegeuka kikundi Cha wahuni kupora haki za wanyonge na Mali zao
Sent using Jamii Forums mobile app