Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Wenzetu wakienda nje wanatoboa pia wanaushirikiano, wabongo wanafata chupi na chupa tu then wanarudi apeche.Mbongo hana malengo ajui nini kusudi lake maishani atakapokuta maziwa na mkate ndo kafika.No,wakifika huko wanaitafuta ulaya au wanaenda kuwajoin wenzao hapo South africa maana wasomali,wapo wamewekeza sana South africa
Wanachotaka jamaa zao wafike tu hapo wakifika wawafanyie mchakato wa kimaisha zaidi
Ova