Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Askofu Gwajima akiwa ameongoza na askari hao alielekezwa kukaa katika viti vilivyoko baada ya mashine ya kukagua iliyoko katika jengo la utawala akisubiri kuitwa ukumbini
Sasa ndio science gani hiyo...kama kuna mpunga tugawane..unachanjwa unapewa mpungawanasema unachanjwa afu unaambukizwa afu unaumwa afu usiilaumu sirikale haihusiki na kuumwa kwako afu UNAKUFA!!
Jessica la mbinguni 😂😂Askofu Gwajima yuko kimataifa zaidi yule Kolimba alikuwa kitaifa!
Alimfufua nani huki mataifani?Askofu Gwajima yuko kimataifa zaidi yule Kolimba alikuwa kitaifa!
Tupo kushuhudia.CCM na Serikali yake hawamuwezi Gwajima
Sasa hivi atachomwa chanjo Gwajima.Hapo ndipo wataharibu kabisa!Hata wale ambao walikuwa hesitant ndio itatoka.
Lakini usisahau kwamba Watanzania walio wengi, hata security forces, zinamuona Gwajima kama hero kwa kuwa amewatetea wasichanjwe kwa lazima.Reaction ya Sirro was a testimony to this.
Only if you try to decipher it with a peanut size brain floating in a big head!A stupid comment.
Kuwa specific, ni mpango wa nani huo kuua watu pole pole?Barakoa ni mpango wa kuua watu pole pole,sijui kwa nini watu wamekubali upuuzi huu.Kama mtu amesoma kidogo tu akifanya utafiti kidogo atapata ukweli wote.Mimi I must be frank,I hate seeing a person in a face mask.Namuone kama mtu ambaye amekubali kuwa yeye ni mtumwa na mjinga.
Kweli ww ni shujaa umepewa hadi ulinzi wa kukusindikiza kwenda kuwachana ukweli wao aisee sijawahi ona chuma kama hichi, songa mbele mzee Baba GwajiboyMbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima amefika Bungeni Dodoma muda huu kuitikia wito uliomtaka kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Serikali inatoa wapi ruzuku? Kwenye kodi na tozo!...serikali imekata ruzuku
Wakimuua tutadai uhai wake kwa Spika NdugaiMpambano wa hoja uwe live Hakuna police kuingilia kati.
Hoja ba hoja.ccm wanakamati msiombe msaada wa police pangueni hoja