Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Askofu Gwajima akiwa ameongoza na askari hao alielekezwa kukaa katika viti vilivyoko baada ya mashine ya kukagua iliyoko katika jengo la utawala akisubiri kuitwa ukumbini
"Naweza kukaa sehemu yeyote.."Askofu kama anastukia kiti cha kuelekezwa. Duuh! Akiri Neno la Mungu, "Hata tukilishwa vya kufisha, tutakanyaga nge na nyoka lakini..."
.