Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Dah aseee kweli mmewachoka hawa vibaka.Natumaini kuna wengi watakuwa wamekufa.
Watu wanataka kupotezana mapema kabla ya 2025 mamaaeeeWabunge wanasafirije kwenye gari moja kama kumbikumbi?
Wewe huna huzuni ? Kwenu hayupo Mbunge wa kuonewa huruma ? Sababu familia zingine Kiongozi mkubwa kabisa ni mwenyeki wa mtaa tena vijijini.Wamekufa wangapi?
Uliwachagua lini wawe wawakilishi wako ?Poleni sana wawakilishi wetu, Mungu awape sia njema kwa wale mliopata mushikeli..!
Kuna jambo Mungu anajaribu kutufunuliaMoja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.
Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.
Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.