Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Why bp? ,,🤣🤣Wakitoka wapi kwenda wapi?
Hao kitakachowaua ni bp siyo ajali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why bp? ,,🤣🤣Wakitoka wapi kwenda wapi?
Hao kitakachowaua ni bp siyo ajali
Huyo dereva kawabeba watunga sheria na utakuta hao watunga sheria walikuwa wanamwambia suka akanyaagieeeeHivi kuna siku hupita bila kuwa na ajali huko
Maana madereva hawajitambui na hawajifunzi ni mwendo wa kuuwana tu na kujeruhiana
Poleni sana kwa uzembe
Maana hakuna wa kiwajibishwa wala kuulizwa kwanini ajali zinatokea kila leo? Na hakuna majibu ya maana ?
Hapo ilipotokea ajali ijengwe hosipitali ya mama Samia.Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.
Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.
========
Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
Tena gari za mbunge mwenzao. Mungu ange toa maamuzi hata kwa watanoWabunge wanasafirije kwenye gari moja kama kumbikumbi?
Kweli I'm going to die and leave my jimbo? It can't be.Why bp? ,,🤣🤣
Ndio wanachojuaHuyo dereva kawabeba watunga sheria na utakuta hao watunga sheria walikuwa wanamwambia suka akanyaagieeee
Ova
Tatizo chawa wao wanawapa taarifa zisizo sahihi kuwa wanakubalika .Kama taifa tupo kwenye peak moja ya chuki kali sana na CCM wakiwa smart watajifunza kitu.
Yaani uzi una viewers 1K na post 82 lakini hakuna hata mmoja ktk walioupitia aliyeweka emoji ya “masikitiko” hii ni hatari sana.View attachment 3170333
🤣🤣Aisee🙌😂😂😂😂😂😂😂Adui muombee njaa
True!Kuna jambo Mungu anajaribu kutufunulia
Ahah ase haya mambo haya tuwaachie wenyeweKweli I'm going to die and leave my jimbo? It can't be.