Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Huyo dereva kawabeba watunga sheria na utakuta hao watunga sheria walikuwa wanamwambia suka akanyaagieeee

Ova
 
Hapo ilipotokea ajali ijengwe hosipitali ya mama Samia.
 
Tatizo chawa wao wanawapa taarifa zisizo sahihi kuwa wanakubalika .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…