zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Wewe unasema hivyo sema ninawaombea sio tunawaombeaNimefanya hvo tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unasema hivyo sema ninawaombea sio tunawaombeaNimefanya hvo tayari
Aha ha ha ha ha aaaKwanini wasizikwe Hivyo Hivyo?
Aha ha h haaaKwanini wasizikwe Hivyo Hivyo?
Sako kwa Bako.dua la kuku kwa mwewe bana, hua ni vichekesho sana dah 🐒
kwamba mwewe atamchukua kuku wake kiulaini, aende kumtafuna right?🐒Sako kwa Bako.
Muda ukifikia Mtatema Bungo.😂😂
Pole kwa kuchanganyikiwaIlitosha mkuu,sasa unaposema watanzania unatuchanganya kweli!
Tuna wabunge wa hovyo sanaUkitaka kujua usaliti ni mbaya angalia account ya kigogo2014 ilivyopuuzwa.
Hayo majizi yalivyoingia bungeni 2020 hakuna asiyejua , chuki waliipanda wenyewe wasimlaumu mtu wananchi wakichoka utaona tu kazi kwao kila siku wanavyosema mtandaoni hakuna wapiga kura na mitandao haina ukweli kuhusu hisia za watu
Siku yao yaja.
Haya maisha tu mkuuNimeipokea hii taarifa kwa masikitiko makubwa sana....Mungu awafanyie wepesi.....View attachment 3170770
Asante sanaPole kwa kuchanganyikiwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣..khaaa!!🙌Kwanini wasizikwe Hivyo Hivyo?
Unaonekana haijatoka ndani moyoni.Mungu awaponye kwa haraka mrudi kututumikia wananchi.
Taja majina yao tuwwombeeMungu awaponye kwa haraka mrudi kututumikia wananchi.
Kwenye hilo kundi la kuwapenda naomba nitoe haraka tafadhaliMungu awaponye kwa haraka mrudi kututumikia wananchi.
Mnateka watu mnauwa watu bunge linakaa kimya watu waumie kwa lipi?hata kuku ndivyo anavyomuombeaga mwewe hivyo,
lakini mwisho wa siku anakua victim wa dua zake mwenyewe .
Licha ya utofauti wa mirengo, ni muhimu zaid kuombeana mema 🐒