Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kwanini kwenye chafuzi hamzi takii nazo ziwe positive?Be positive hawa nao ni binadamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini kwenye chafuzi hamzi takii nazo ziwe positive?Be positive hawa nao ni binadamu
Wewe ulimuonea huruma mzee Ali Kibao pale vikosi vyenu walipomkamata wakamuua?Una roho mbaya Mungu hayupo hivo
Kote tunasema labda huwa huoniKwanini kwenye chafuzi hamzi takii nazo ziwe positive?
Hakuna alikufa tuombe Mungu isitokee hiyoWamekufa wangapi?
Wakati wa kukwiba na kujibebesha makaratasi kufanikisha kwanini hamfikirii kuacha roho mbaya kwa taifa letu?Una roho mbaya Mungu hayupo hivo
Sisi tunaomba wafe lakiniHakuna alikufa tuombe Mungu isitokee hiyo
Ni myth hazina ushaidiWakati wa kukwiba na kujibebesha makaratasi kufanikisha kwanini hamfikirii kuacha roho mbaya kwa taifa letu?
Chawa nijuavyo wanasemea ugali wao bila kujali ugali unapatikana kwa kutoa hata roho za wasio na hatia ama kwa kuwakwibia kifisadi ama kwa urefu wa kamba,hivyo wote wa aina hizo mlaaniwe tena kweli kweli.Kote tunasema labda huwa huoni
Mm siyo chawa boss tunaongelea maisha ya watu boss uhai bossChawa nijuavyo wanasemea ugali wao bila kujali ugali unapatikana kwa kutoa hata roho za wasio na hatia ama kwa kuwakwibia kifisadi ama kwa urefu wa kamba,hivyo wote wa aina hizo mlaaniwe tena kweli kweli.
Upo kwenye chafuzi,utekaji,Uuwaji na kutojali hoja,mawazo,malalamiko,kanuni,sheria na miongozo mama tukiyojiwekea ikiwa hata katiba iliyopitwa na muda,achilia mbali mpya inayoombwa kurekebisha mapungufu ya iliyopo.Ni myth hazina ushaidi
Chawa ama kwa kujua ama bila kijua na wanajukwa chawa kama akina naniliu wanaweza kuthibitisha.Vinginevyo acha kudandia yale ambayo yanaliangamiza taifa.Mm siyo chawa boss tunaongelea maisha ya watu boss uhai boss
Sasa mkuu watanzania si tumeshaamuaUpo kwenye chafuzi,utekaji,Uuwaji na kutojali hoja,mawazo,malalamiko,kanuni,sheria na miongozo mama tukiyojiwekea ikiwa hata katiba iliyopitwa na muda,achilia mbali mpya inayoombwa kurekebisha mapungufu ya iliyopo.
Tumeamua kudanganyana,ama kudanganya tunao uchaguzi ama mfumo wa uchaguzi,hata mtoto atakuambia tunachofanya ni kuonyesha ujinga wa Kitanzania.Sasa mkuu watanzania si tumeshaamua
Mimi mlala hoi ndugu ukuu waachie wenye naoSasa mkuu watanzania si tumeshaamua
Ukisema wahakikishe wanarudi kwenye viti baada ya chafuzi watajadili ila sii shida za taifa hili.Wakirudi bungeni watenge bajeti kuhakikisha barabara zote kubwa ni njia nne.
Kivipi Mkuu???Planned accident
Mimi swali langu ni moja tu. Mheshimiwa sana Spika alikuwemo humo?Dah aseee kweli mmewachoka hawa vibaka.
Hapo utakuta basi lilikuwa mwendo wa ngiri na kufanya vurugu barabarani kisa tu limebeba wakujiita "waheshimiwa".
Maana hii nchi watunga sheria na walinda sheria ndio wanaongoza kuvunja sheria.
Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii. Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma. ======== Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
Hawakuwa na ving'ora?Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.
Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.
========
Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.