mushora
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 376
- 909
Anatuchamba Sisi wenye mchi. Shenzi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatuchamba Sisi wenye mchi. Shenzi sana
Iyo namba moja mpaka saba wanachokishusha unkijua any birht can change according to ship queque...... TushapigwaMaana DP World wanapewa Berth 1-7 tu
8-11 zinabaki TPA kama kawaida
Mafuta, Gesi, Magari yanabaki TPA
Ulinzi unabaki kwa Tanzania
Mtwara na Tanga hazitahusika
Mbowe yupo sahihiHivi Mbowe kuhusu Uzanzibar na Wazanzibar alikusudia nini?
Ukisugua nyeupe utatia doa....... hahaha!
Mliwachagua kwa kishindo mwaka 2020, leo mnawashitaki kwa Mungu ?Wabunge mmeamua kuwasaliti watanzania kwa kuwatumikia mafisadi ya kiarabu?
Mungu anawaona
Mkataba una tatizo lipi?Kwa mkataba huu SSH yameisha mshinda sidhani kama anastahili kuwepo pale mpaka 2025 , sidhani
Kuna mbunge huyu anachamba kama demu wangu wa mbagalaNdo ishatoka hiyo.
Alipaswa tumia akili kuliko mihemko, azimio linapitishwa na hakuna atachofanya
Sasa shida nini mkuu? Nisaidie kuniambia nini changamoto au unafuata mkumbo tu?Huna akili
Ngoja MOU itoke bungeni ndio tukae tuone Serikali itapata fedha kiasi gani na Bandari itaboreshwa na kuendelezwa kwa kwa kiwango gani na muda wa mkataba utakuwa ni miaka mingapiSwala si mizigo kumwagika, je tutafaidika vp?
Nakuuliza wewe hapo.Muulize Fatuma Karume
Kama Azimio litakuwa na dosari atakayeumia ni Watanganyika na sio Mbowe pekee.Ndo ishatoka hiyo.
Alipaswa tumia akili kuliko mihemko, azimio linapitishwa na hakuna atachofanya
Kabla ya kufuatilia leo bungeni nilikuwa najua Serikali imeingia cha kike ila baada ya kufuatilia bungeni leo, hakuna shida yoyote na jamaa wanapinga tu bila sababu ya msingi.Mkataba una tatizo lipi?
Usitulishe matango pori.
Vifurushi
Angekaa kimya maana hakuna anachoweza badilishaMbowe yupo sahihi
Mikataba ya hovyo na waarabu imeingizwa na viongozi wa visiwani
Mwinyi-loliondo na samia suluhu-bandari
Na ina zaidi ya kesi 20 kwenye nchi walizowekezaDP world ndio kampuni pekee yenye uzoefu katika uwekezaji wa Bandari, imewekeza katika nchi 6 ktk bara la Afrika na pia katika Bara la ulaya.
hii ni vita kati ya Makampuni mengine yaliyo kosa nfasi ya kuwekeza katik bandari yetu dhidi ya DP World.
tuwe makini tusicheze ngoma tusio ijua.
DP world ndio kampuni sahihi katika uwekezaji wa Bandari yetu.
Naona umeumia, ulitegemea watauponda mkata wa maendeleo?Wabunge mmeamua kuwasaliti watanzania kwa kuwatumikia mafisadi ya kiarabu?
Mungu anawaona
Sasa angetulia tu au angepinga kwa njia nyingine kama Zitto na Chama chakeKama Azimio litakuwa na dosari atakayeumia ni Watanganyika na sio Mbowe pekee.