EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
Ataunga hojaNasubiri Mbunge wa Chama cha Upinzani aongee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataunga hojaNasubiri Mbunge wa Chama cha Upinzani aongee.
Kwahiyo mwekezaji alete mitambo yako na kuwekeza pesa zake, kisha management ibaki kuwa ileile ya TPA ambayo mnakubali kuwa imefeli?
YaanI DP aje kuoperate chini ya management iliyofeli? Tumia kichwa chako vizuri.
Kitila ameshindwa kusema wazi kuwa mkataba una mapungufu lakini mwisho kasema ooh wataalamu wawe makini kuingia mikataba ….kitilaKitilaa amezungukaa mnoo...lkn bado amerudii kwenyee hojaa
Atumie kichwa ambacho hana, usitake ajitutumue kwenye hakuna. Majibu yake tu yanaonesha.Kwahiyo mwekezaji alete mitambo yako na kuwekeza pesa zake, kisha management ibaki kuwa ileile ya TPA ambayo mnakubali kuwa imefeli?
YaanI DP aje kuoperate chini ya management iliyofeli? Tumia kichwa chako vizuri.
Hoja za msingi wanaziacha, sasa wanamuwakilisha nani?! Mfano kataba kutovunjika hata wakivunja masharti ya mkataba, ina maana gani?Watanzania tunashambuliwa tu ndani ya bunge na hawa tunaosema et ni wawakilishi wa wananchi.
Huyo m*laya amefanya mpaka nibadilishe chaneliUyu mama anaeongea simuelewi
hahhahahahaa AstaghfirulaaaHili lishangazi linaloongea saizi lipo vizuri sana. Ukilipata hili unalipiga deki mpaka likuhonge na ubunge wenyewe kudadeki.
Bora wewe umesema mkataba! Umeisoma ibara ya 23?Mbona namsikia anasoma vipengele vya mkataba? Au wewe unasikiliza bunge lipi?
Mbona uligalagala barabarani kwa kifo cha Mwanasiasa, kwanini usinywe Bia kama mimi.Tatizo la nchi hii ni wanasiasa tu.
Huo ndio ukweli hakuna ubaguzi hapo.Alianza Nyerere huo utamaduni.
Hakuna sheria inayokataza. Mzanzibari pia ni Mtanzania sawa na Mtanzania mwengine.
Tuache ubaguzi, tupinge kuwabagua wengine na tupinge kubaguliwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ntakustua akisepaHuyo m*laya amefanya mpaka nibadilishe chaneli