FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Wengine mnachangia huku "mna-vifurushi vya ubaguzi" vichwani.7 to 29 t? Day light uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine mnachangia huku "mna-vifurushi vya ubaguzi" vichwani.7 to 29 t? Day light uongo
Hao ndio waliopita bila kupingwa na kwa kishindo mwaka 2020.Ha ha ha ha mbunge kanaswa anaperuzi tu.
Kazi ipo
Waliingia mkataba wa kuungana mkono? Akili gani hii? Mbowe haitaji ukaribu na Samia, anahitaji kufanya siasa kwa mijibu wa KatibaMbowe alikosea sana na hili litaondoa ule ukaribu wake na Samia, hivyo asitegemee tena kupata chochote cha maana.
Alikosea
Alikosea
Aahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ntakustua akisepa
Hata Watanzania wengi wanaolia sasa hivi walichangia kupitisha hao wabunge hapo bungeniNaona umuhimu wa wapinzani kuwapo bungeni, Magufuli umetuletea balaa kwa kupitisha pitisha wabunge wa ccm kwa mabavu
Mbowe ni bogus.Mbowe alikosea sana na hili litaondoa ule ukaribu wake na Samia, hivyo asitegemee tena kupata chochote cha maana.
Alikosea
Alikosea
Hamna lolote yule ni yale yaleMkumbo kidogo kaongea point, wengine mipasho,wengi hawana references.
Ngoja tuendelee kuwasikiliza.
Na Riz 1, na Godwin Mollel wanaongea na simu nimesikia wakisema niandalie chapati na mayai mawili.
Kwa nini bandari za Bara tu?Mbowe alikosea sana na hili litaondoa ule ukaribu wake na Samia, hivyo asitegemee tena kupata chochote cha maana.
Alikosea
Alikosea
Wengine mnachangia huku "mna-vifurushi vya ubaguzi" vichwani.
Hiyo kazi aliiweza TALMbowe kweli kateleza, ila kuteleza kwake ni yy binafsi kwanza wadiscuss mkataba huu,hii mipasho haliisaidii taifa.
Nilitegemea hapa kungekuwa mwendo wa kurefer sheria mbalimbali za mikataba huku wakihusianisha na huu mkataba,yaani kungekuwa mwendo wa reference.
Mbowe ana kawaida ya koropoka bila kufikiria.Mbowe kweli kateleza, ila kuteleza kwake ni yy binafsi kwanza wadiscuss mkataba huu,hii mipasho haliisaidii taifa.
Nilitegemea hapa kungekuwa mwendo wa kurefer sheria mbalimbali za mikataba huku wakihusianisha na huu mkataba,yaani kungekuwa mwendo wa reference.
Acha wamjadili Mbowe maana ndiye aliyeingia hayo makubaliano.Mbowe kweli kateleza, ila kuteleza kwake ni yy binafsi kwanza wadiscuss mkataba huu,hii mipasho haliisaidii taifa.
Nilitegemea hapa kungekuwa mwendo wa kurefer sheria mbalimbali za mikataba huku wakihusianisha na huu mkataba,yaani kungekuwa mwendo wa reference.