joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Samia kaona mbali sana apongezwe Nakazia.Mama kaona mbali sana. Apongrzwe.
Labda watamuweka mwisho saa hizi wanaogopa anaweza badili hali ya hewa.Hawezi kupewa nafasi.
Mdee ni nani bungeni nakwachama gani, acheni utahilaMdee anawachachafya hadi spika kaingilia kati
Tayari ka bugi anakosolewa wazi wazi kapangwa.Mbona wanamkatisha Mdee kila muda
Unafahamu la kazi ya mwenyekiti kwenye kikaoSpika ana mkata stimu Mdee si amwachee.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwanasheria misheni town Halima James Mdee kakumbana na mwanasheria phd holder mnyakyusa. Mdee kabanwa njia nyembamba naona amebaki kuuma maneno. Kiufupi kapoteana
naskia mmepitishiwa bahasha za mualiko wa breakfast hapo bungeni.Sema, yupo hapa kwenye uzi.
Yeye anaunga mkono mtu kwa kuangalia dini yake. Ni mtu mjinga sana huyu
Mdee amelipwa sanaTayari ka bugi anakosolewa wazi wazi kapangwa.
Sifurahi ujinga, unakera sometimesWewe si mwehu.
Furahi.