Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Huyu aliekua mwenyeki vijana taifa na naibu waziri hana akili
 
Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawasawa..
 
Tanzania nchi yangu,nakupenda sana....
Watu wenye hoja kina mdee wanapigwa vita kwa personal attacks,
Badala ya kuchangia wasikilize ni taarifa kila Muda spika ana muharasi harasi,
 
Watanganyika waarabu wanachukua ukanda wote wa bahari ya Hindi kuanzia Tanga, Bagamoyo, Dar, Lindi hadi Mtwara.

Sasa basi ikifika 2025 tusipokuwa makini kwenye uchaguzi mkuu kumuondoa Saa100 imekula kwetu mazima.
2025 mtafanya nini boss, uchaguzi ni kupotezeana muda. Machafuko pekee ndio yatarejesha nguvu za wananchi kwenye maamuzi.
 
Duh. Nasikiliza wabunge wanavyolamba asali na kuongea upupu.., aibu naona mimi msikilizaji.

Hii ndo democracy kweli? Yaan tunachagua wawakilishi lakini wao wanapendekeza maslahi yao..
Yaan maoni ya waliowachagua hayama mantiki???
 
Nafuatilia Bunge hapa naona Mdee kakubali kumpa Maua yake Spika Msomi Tulia.
Mdee..... Mhe! Spika nakubali wewe ni Mbobezi lakini akaanza kujiuma uma.....
 
Ni Wapumbavu sana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…