Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeshindwa kwasababu watalaamu na wenye akili hawako kwenye circle ya uongozi wa nchi, uongozi umeshikwa na wengi wasiokuwa na akili na mawazo bunifu.Tumeshindwa sio na Bandari tu tumeshindwa kuendesha vingi labda kuendesha mauno.
TBC Radio 87.7Frequency ya redio yeyote inayorusha matangazo haya?
Hakuna jipya wala nondo zozote bali ni Taarabu tupu. Mwisho wanaonga mkono Waseem ndiyoo wasiounga mkono waseme siyoo. Waliosema ndiyoo wameshinda.Leo ndo siku babu tale anatoka kapa humo bungeni, sidhani kama anaelewa kitu humo hahahahahaha
bado ni kidada ichoHiki kimama kinamfokea nani labda?
Wananchi wake wakipige chini
Hebu ona, eti Engineer anaongea hivyo😂. Hawa ndio wale wasomi wa kuungaunga.Huyu Injinia gani ? Hana hoja
Yaani Halima peke yake ndio ametoa hoja kitaalamu the rest ni siasa tu Samia Samia hamna hoja na wamemblock Halima makusudiYan wamemtoa Mdee hao wengine siwaelewi wanachoongea kwakweli halafu hutasikia taarifa taarifa au wakikatishwa kama walivyomfanyia Mdee.