Hilo ni bunge kazi ni kutunga sheriaMbunge mwenyewe anauita mkataba. Kiukweli huu ni mkataba na sio majadiliano kama baadhi ya wajinga wanayosema humu, kwasababu hakuna chochote kilichorekebishwa, makubaliano yamekuja na yataondoka kama yalivyo kwenda kusainiwa (HAKUNA MABADILIKO).
Logically, huo ndio mkataba wenyewe.
Mbunge anasema kuwambia Dubai kuwa kuna fursa nyingine anasema ni mamlaka anashindwa kujiuliza kwanini lazima tuwajuze wao?
Fitna na majungu yote ya mitandaoni anayapika yeye.Hivi bashiru kumbe ni bench warmer siku izi.....
Tokea Uhuru Wataalamu ndio wameongoza kutafuna mali za umma.Tumeshindwa kwasababu watalaamu na wenye akili hawako kwenye circle ya uongozi wa nchi, uongozi umeshikwa na wengi wasiokuwa na akili na mawazo bunifu.
Kwa bunge hili, ninastahili kuwa mbunge, na ninatoshaa haswaaa.Yaani tunavyochambwa kama namuona mange uko
Huyu itakuwa ni mwalimu by professional huyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kishikwambi cha mbunge wa iringa mjini Jesca msambatavangu ni KICHAFU kava CHAFU kweli, ni jinsi gani hawa watu ni wachafu kiakili mpaka mwili wao na sijui huko chini kukoje
Mnukuu vizuri mbunge.Mbunge anasema kuwambia Dubai kuwa kuna fursa nyingine anasema ni mamlaka anashindwa kujiuliza kwanini lazima tuwajuze wao?
Vipi bandari za zanzibar?Imagine,
Bandari ya Tanga kwa kwa asilimia kibwaniwe kwa ajili ya Uganda na Sudan ya Kusini tu.
Bandari ya Dar kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Rwanda na Burundi tu.
Bandari ya Mtwara kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Malawi na Zambia tu.
Bandari ya Bagamo kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Congo na Tanzania tu.
Mama anauoiga nwingi, tena sana.
Miaks 5 kuanzia leo tutegemee bajeti yetu kuwa surplus.
Hamna kitu , japo Mdee nimemuelewaHivi Bunge letu lina jipya na cha maana kweli ukiondoa compliance ya Katiba? Nina maanisha does it meet objectives of its establishment or it merely the matter of Katiba compliance?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Tusifike hukoHuyu itakuwa ni mwalimu by professional huyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una hoja usikilizweImagine,
Bandari ya Tanga kwa kwa asilimia kibwaniwe kwa ajili ya Uganda na Sudan ya Kusini tu.
Bandari ya Dar kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Rwanda na Burundi tu.
Bandari ya Mtwara kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Malawi na Zambia tu.
Bandari ya Bagamo kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Congo na Tanzania tu.
Mama anauoiga nwingi, tena sana.
Miaks 5 kuanzia leo tutegemee bajeti yetu kuwa surplus.
Jamani huyo Bashiru si aongee na yeye khaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bashiru anatabasamu tu....