Emar
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,789
- 2,965
Hilo ni bunge kazi ni kutunga sheriaMbunge mwenyewe anauita mkataba. Kiukweli huu ni mkataba na sio majadiliano kama baadhi ya wajinga wanayosema humu, kwasababu hakuna chochote kilichorekebishwa, makubaliano yamekuja na yataondoka kama yalivyo kwenda kusainiwa (HAKUNA MABADILIKO).
Logically, huo ndio mkataba wenyewe.