Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Mbunge mwenyewe anauita mkataba. Kiukweli huu ni mkataba na sio majadiliano kama baadhi ya wajinga wanayosema humu, kwasababu hakuna chochote kilichorekebishwa, makubaliano yamekuja na yataondoka kama yalivyo kwenda kusainiwa (HAKUNA MABADILIKO).

Logically, huo ndio mkataba wenyewe.
Hilo ni bunge kazi ni kutunga sheria
 
Mbunge anasema kuwambia Dubai kuwa kuna fursa nyingine anasema ni mamlaka anashindwa kujiuliza kwanini lazima tuwajuze wao?

Na kulikuwa na haja gani ya kuwepo kwa hiyo clause
 
Tumeshindwa kwasababu watalaamu na wenye akili hawako kwenye circle ya uongozi wa nchi, uongozi umeshikwa na wengi wasiokuwa na akili na mawazo bunifu.
Tokea Uhuru Wataalamu ndio wameongoza kutafuna mali za umma.

Wewe pia ukipewa ofisi utaiba tu.
 
Yaani tunavyochambwa kama namuona mange uko
Kwa bunge hili, ninastahili kuwa mbunge, na ninatoshaa haswaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Tunachambwaa jaman khaaaah
 
Hata mimi nimesikitika nilitamani apewe mda zaidi ase angefungua vichwa watu wengi juu ya huo mkataba cha ajabu wame mzonga zonga tu ashindwe kuongea.
 
Kishikwambi cha mbunge wa iringa mjini Jesca msambatavangu ni KICHAFU kava CHAFU kweli, ni jinsi gani hawa watu ni wachafu kiakili mpaka mwili wao na sijui huko chini kukoje
Huyu itakuwa ni mwalimu by professional huyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Imagine,

Bandari ya Tanga kwa kwa asilimia kibwaniwe kwa ajili ya Uganda na Sudan ya Kusini tu.

Bandari ya Dar kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Rwanda na Burundi tu.


Bandari ya Mtwara kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Malawi na Zambia tu.


Bandari ya Bagamo kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Congo na Tanzania tu.

Mama anauoiga nwingi, tena sana.


Miaks 5 kuanzia leo tutegemee bajeti yetu kuwa surplus.
Vipi bandari za zanzibar?
 
Bandari kavu Rwanda ipo under operation na DP WORLD na sisi tunataka kumpa DP WORLD bandari zetu zote apakue mzigo bila sisi kujua. Aje apakue shehena za silaha apeleke kwenye bandari zake kavu huko Rwanda. Najaribu kuwaza usalama wetu utakuwaje na TISS yetu iliojaza UVCCM wa aina ile???????

Nani amewaza kama mimi?????
 
Imagine,

Bandari ya Tanga kwa kwa asilimia kibwaniwe kwa ajili ya Uganda na Sudan ya Kusini tu.

Bandari ya Dar kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Rwanda na Burundi tu.


Bandari ya Mtwara kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Malawi na Zambia tu.


Bandari ya Bagamo kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Congo na Tanzania tu.

Mama anauoiga nwingi, tena sana.


Miaks 5 kuanzia leo tutegemee bajeti yetu kuwa surplus.
Una hoja usikilizwe
 
Back
Top Bottom